Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-0-0B902BAA00000578-384_634x371.jpg



Whats up Tor the res & Acheni Lotte?

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tumefungwa bao, 1-0 dakika ya 43

Upangaji wenu ndio unawamaliza. Huyu Torres hajafanya lolote la maana tangu mumnunue na hivyo kutostahili kuanza lakini yumo ndani. Kwa maoni yangu inabidi Drogba na Kalou waingie kipindi cha pili ili kujaribu kuokoa jahazi. Vinginevyo msimu wenu wa UEFA ndiyo umefikia ukingoni.
 
huyu kocha akibakizwa kwenye hii timu baada ya mechi ya leo ntashangaa sanaaaa....yaani huyu ni wa kufukuza tu...pumbafu kabisa kocha huyu
 



Tor the res katika kukuru kakara .... ... A total loser khe khe kheeeeeee

Ooops a winner, Roman and Chelsick total losers
 
I recommended Yoss to start along side Lampard and Essien at the mid - Drogba to start along side with Yury and Malouda. Ramires, Torres and Anelka to be at the waiting bench.

this result is not mine, i think CARLO will have nothing to prove at CHELSEA, i cant wait to see his days are very few at chelsea. - his life is less than remaining 45 min.
 
Upangaji wenu ndio unawamaliza. Huyu Torres hajafanya lolote la maana tangu mumnunue na hivyo kutostahili kuanza lakini yumo ndani. Kwa maoni yangu inabidi Drogba na Kalou waingie kipindi cha pili ili kujaribu kuokoa jahazi. Vinginevyo msimu wenu wa UEFA ndiyo umefikia ukingoni.

Bora na Ramires kuliko Torres....anyway nimeongea na Ancellotti anamweka Drogba....he he he....umehama Arsenal au kama mimi leo wataka Chelsea ishinde???
 
  • Thanks
Reactions: BAK
article-1373734-0B82BAA000000578-617_634x386.jpg


Tor the res akizalilishwa na Manure players

bila utetezi wowote wa Chelsick

Tinachubiri chacha magoli matatu ya Chelsick .. ... ..khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee Elnino naona upo hapa, leo lazima kieleweke.
 
Niliwauliza Chelsick fans nani anapanga timu lakini hakuna majibu, chacha Acheni Lote kaamua na lolote liwe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Bora na Ramires kuliko Torres....anyway nimeongea na Ancellotti anamweka Drogba....he he he....umehama Arsenal au kama mimi leo wataka Chelsea ishinde???


Hapana sijahama miye na Arsenal damu damu ila hao MANU mhhhhh! bora nisiseme tu nisije kurushiwa tindikali usoni hahahahaha LOL!

555.gif
 
Jamani mimi niko Msonga nakarabati nyumba za ooops hekalu la m k w e r e nasubiri commentary za peasant bado sijaziona vipi mpira umesimama? Tafadhalini jamani hata habari mnatoa kwa njia za kimafiamafia tu .. . .... ..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Torres was bought to be a winner NOT at Chelsea fc ONLY but anywhere he belongs, (The gus is a real champion) , I believe that he is going to show us what he is made of tomorrow, kama ametengezwa kwa mawe au kwa matofali ya mchanga basi tutajua hiyo kesho ndani ya dakika 180 against Man U, the minutes will prove his WORTH. If we lose against Man U (Home and AwaY) then we won't have any excuse in this season. I BELIEVE we WILL.

Let us Cross our fingers - CHELSEA EVER.............

What the other guys comment on this game>

Torres is a phenomenal player, no doubt. He needs time and he will get that time. He has a five year contract and he will come good. However Drogba is proven to fit into the system with Anelka, and he is at this current moment, also Torres' equal. Given the choice between two players of a similiar standard, you have to pick the guy who knows how to fit into Chelsea's system. Drogba should play. Having said that, Torres and Drogba against Vidic and Smalling... without the guile of Rio that could be a mauling.

Read also this one:

Am a liverpool fan and i know hw Torres cn b deadly some times especially when is playin Man-u defence Vidic is always in trouble..so ancelotti shud start Drogba and Torres the will destroy Man-U defence.

Let us wait the 90 min.

By Yossi Benayoun:

'I am sure he will score a lot of goals because he has a lot of quality and he was unlucky with his chance when he came on against Wigan.

'In the games he played for Chelsea he did great movement but Chelsea are used to playing with Didier [Drogba] where you play to the body and not into the space, but slowly the players know him better. When a striker misses one or two chances he loses a little bit of confidence but when Fernando scores one I promise you he will be a top scorer.'
 
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join Date : 19th November 2010
Posts : 209
Thanks33Thanked 46 Times in 27 Posts
Groan0Groaned 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 21

icon1.png
Re: Ancelotti: Chelsea ni lazima ibadilike kwa Man United


Play fit again Yossi at midfield, Essien to be a holding mid, Ramires and Lampard - Up front play Drogba.

CECH

IVANOVIC ALEX TERRY COLE

ESSIEN LAMPARD RAMIRES

YOSSI DROGBA ZHIRKOV

Formation is 4 - 5 - 1 when we dont have a ball and can change to 4 - 3- 3 when attacking with Yossi to the right and Zhrkov to the left.


Zhirkov and Yossi can create chances from the wings. Try this for 60minutes if wont work Please Sub Ramires with Kalou, Drogba with Torres, drop Zhrkov at the middle.

Kalou is faster, Torres is fasta, Yossi is fasta - Torres can play at the center waiting for those killer balls from left & right.

JOB DONE!!!!​

Last edited by FUSO; Yesterday at 06:16 PM.​
 
Stupid Coach, Ramires ana kadi na ana tension ya game, kwa nini asimtoe na kumwingiza Yossi? mpumbavu. sorry to use hard words.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom