Hili ndiyo tatizo la kuchukua Habari za Magazeti na twitter ukazifanya ndiyo
Confirmed News kutoka kwenye timu!!
Hivi Unawafanya Barcelona ni Wajinga kiasi hicho watowe £50m + Malcolm kwa ajili ya Willian?
Nadhani umesahau kuwa hata Coutinho aliyekuwa gumzo basi ni Mchezaji wa Hakiba Kule Barca, then waje watoe £50m + Malcolm kwa Willian ambaye Hata Sib hana nafasi ya kucheza Kyle Barca?
Na unadhani Abramovic ni Bashite wa Kukataa £50m kwa Willian??
Hebu itokee hiyo timu itoe hizo hela uone kama Abra ataziacha.
Nakuhakikishia Haitotokea timu ikazidi £30m kwa ajili ya Willian.
Jaribu Kufatilia Habari kutoka Vyanzo vya timu husika pamoja na wakala wa mchezaji husika.
Nimejaribu Kupitia Mtandao wenu wa Timu na Sarri ameyazungumza haya.
View attachment 992511
Maurizio Sarri on Willian and Alvaro Morata future, and public Bayern pursuit of Callum Hudson-Odoi | Official Site | Chelsea Football Club