Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Our first eleven.
IMG_20190112_202858_790.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alonso sijaona umuhimu wake kuanzia sari aje darajani, drink water sijui alisajiliwa kwa ajili gani, kama vipi wamuuze Willian tununue striker kwa sababu kwa style ihii Ushindi tutakuwa tunaupata kwa shida kwa odoi yupo na juzi tumenunua winger ya nn tunawalundika..... Alafu wachezaji wanacheza kwa kurelax sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari ipo skysports na pia bbc. Hivyo vyombo vya habari vina network kubwa kuliko wewe. Angalia tu list ya pundits, players, veterans wa epl, coaches, na experience iliyotukuka utajua nani wa kuaminiwa kati ya wewe. Alafu unapaswa kuelewa kuwa transfer news are very confidential. Hivi leo club iseme inamfuatilia Huguain Unafikiri performance ya Girud au Morata itakuwaje Mechi hizi ambazo bado wako Chelsea?
You are right Gwayema, ukingoja club itoe taarifa ya usajili utangoja sana, professionally taarifa za usajili huwa haziongelewi kwa sababu wachezaji wanaozungumziwa tayari wana mikataba na wako kazini. Kwa hiyo process yote inakuwa confidential mpaka iwe deal done. Huko nyuma niligusia hili kuwa chanzo cha gossip na rumors kwenye usajili ni kwa sababu taarifa rasmi huwa hazitolewi mpaka zivuje na ndio maana zikaitwa rumors. Na kuwa rumors haimaanishi sio za kweli
 
Sarri: "I was happy with the result, I was happy with the performance at Tottenham. We started well, but when we scored we felt like it may be easy, it wasn’t. After the goal something happened, we stopped playing."
 
Sarri: "It was important for points and the goals. It is difficult to understand why we stopped. In the last 5 matches it was hard to score, today we did after nine minutes. We stopped to play and then we had problems."
 
Sarri: "We were not able to react in the right was to the difficult. Today wasn’t the difficulty, we didn’t face that. Against Watford we reacted well. Apart from the result at Tottenham we reacted well. I think that we need to improve our mentality in total."
 
Sarri: "Willian is an important player. In my opinion, Willian has to stay with us. He is a really important player like Pedro. Hudson-Odoi is becoming a very important player. With Eden as a striker, we need wingers, so we need Pedro, Odoi and Willian"
 
Sarri on Willian's contract: "I don’t know anything about the Willian contract, he might have 12 years on his contract, I don’t know. You are trying to get me to speak about something I don’t know."
 
Sarri on Fabregas replacement: "As you have seen Jorginho was in trouble, but I didn't have a player for that position. I have no idea when it will get sorted. The club knows very well my opinion. I need a player there. It depends on the club decision. I cannot do anything more"
 
Chelsea - Newcastle thoughts:

- Willian w/ a Barca quality goal
- Pedro very dangerous
- Kanté everywhere
- Jorginho not great
- Luiz brilliant
- Azpi great in the air, 8 aerials won
- Alonso decent game, bad effort
- Hazard has 10 assists, how?
- 6 points clear of Arsenal!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom