Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
You are right Gwayema, ukingoja club itoe taarifa ya usajili utangoja sana, professionally taarifa za usajili huwa haziongelewi kwa sababu wachezaji wanaozungumziwa tayari wana mikataba na wako kazini. Kwa hiyo process yote inakuwa confidential mpaka iwe deal done. Huko nyuma niligusia hili kuwa chanzo cha gossip na rumors kwenye usajili ni kwa sababu taarifa rasmi huwa hazitolewi mpaka zivuje na ndio maana zikaitwa rumors. Na kuwa rumors haimaanishi sio za kweliHii habari ipo skysports na pia bbc. Hivyo vyombo vya habari vina network kubwa kuliko wewe. Angalia tu list ya pundits, players, veterans wa epl, coaches, na experience iliyotukuka utajua nani wa kuaminiwa kati ya wewe. Alafu unapaswa kuelewa kuwa transfer news are very confidential. Hivi leo club iseme inamfuatilia Huguain Unafikiri performance ya Girud au Morata itakuwaje Mechi hizi ambazo bado wako Chelsea?