lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Hazard ni mchezaji mzuri hasa kwa sababu ya dribling capacity yake na ana uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi LAKINI Hazard akitoka Chelsea timu itapona kama Coutinho alipotoka Liverpool ikapona. Take my word
Kuondoka kwa Hazard kutaifanya kwanza timu ifanye usajili wa maana, pili itajenga kujituma zaidi kwa wachezaji waliopo
Kuondoka kwa Hazard kutaifanya kwanza timu ifanye usajili wa maana, pili itajenga kujituma zaidi kwa wachezaji waliopo