Jasho la kuku samahani kukujibu hivi
Ni makosa kumlinganisha hazard na pure strikers au wingers kama akina MO Salah na Sterling, role kubwa ya hazard ni
attacking midfielder au
wide midfielder anachezesha mpira na ndio maana sifa yake kubwa haiko kwenye kuscore bali kwenye kudrible na kutengeneza chances ikiwa ni pamoja na kuassist. Katika nafasi yake magoli anayofunga ni ratio nzuri sana kama ya akina Lampard nk. Hata kama akicheza false no. 9 ni kwa sababu hiyo hiyo ya kuwachezesha wenzake wa mbele.
MO Salaha anakiwa kuwa na mabao mengi na assists chache kwa sababu yeye ni striker
Raheem Sterling ni mainly winger
Sala hawezi kucheza mpira kama Hazard lakini anaweza kufunga magoli mengi kuliko Hazard akiwa na viungo wazuri wa kumtengenezea mipira
Na ndio maana
- Mo Salaha ktk matches 18 ana magoli 11 na assist 5 more goals than Hazard and Sterling but less assists than the duo
- Sterling katk matches 15 ana 9 goals assist 6 less than Mo Salaha but higher than Hazard and vice versa
- Eden Hazard in 17 matches and 8 goals and 9 assists. Ndie mwenye assists nyingi kuliko hao wawili
Hata itakapoendelea tutategemea merely stats zitakuwa ktk rationale hiyo hiyo unless kuwepo na a big difference katika general performance ya timu nzima
Mfano chelsea wakien delea kucheza ovyo zitaaffect stats za Hazard against the other duo
Performance ya Liverpool ikidorora, Mo Salaha stats zake zitaadhiriwa
Mancity hivyo hivyo kwa Raheem