Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Joginho si ndo huyu aliyekuwa anapambwa mwanzon? Mi naona Chelsea wamuombe angalau Klopp awape Lallana ili kuwasaidia kuboost team
Joginho alikua haijui michaka michaka ya EPL akajua pass 180 per mech ni dili akawa anazunguka kila kona ya uwanja haha SPURS mungu anawaona hivi mlimfanya nn JOGINHO tangu ile gemu kawa floper kuliko LALLANA
 
JOGNHO NI TATIZO KUBWA MAMAME
Na yule mzee ana mahaba naye
Jorginho hawezi mechi za England, ataendelea kuremba mpira hawezi kabisa kutengeneza nafasi, naona luiz na hazard ndio wanajitahidi wakati hiyo kazi alitakiwa kufanya Jorginho.
 
Alonso amepata golden chance in injury time analose.........dah nilishahesabu suluhu nimefumba macho nafumbua nakuta ngoma inagonga nguzo.....dah siku ya kufa nyani
Leo Alonso kachezi vizuri ile ilikuwa bahati mbaya tu ikagonga mwamba, huo mpira aliucheza vizuri
Mbona na Kipa hamumsemi leo tungekula 3 kama sio Kepa kaamua kuzipangua
 
Jamani wana Chelsea, Man U baada ya Mou kuondoka wanapiga honi huko nyuma wanakuja kwa speed kubwa sana kwa kumlamba mtu 5/1, Arsenal nao wako wanaomba kuovertake, Hivi kweli tutabakia kundini kweli?
 
Jamani wana Chelsea, Man U baada ya Mou kuondoka wanapiga honi huko nyuma wanakuja kwa speed kubwa sana kwa kumlamba mtu 5/1, Arsenal nao wako wanaomba kuovertake, Hivi kweli tutabakia kundini kweli?
mwambie kocha wako apange striker pale mbele asitegemee magoli kutoka kwa willian na hazard atakuja kustuka yupo katikati ya kundi la timu kupanda mbali kushuka mbali
 
CHELSEA KUWENI NA AMANI TU, KWAKUWA KUFUNGWA KWENU SIO HABARI YA MJINI....

HABARI YA MJINI LEO, GUARDIOLA WAMEMPAKUA PALE PALE ETIHAD, SIO MCHEZO GUARDIOLA APAKULIWE PALE PALE KWENYE MACHINJIO YAKE... INAHITAJI MOYO




ALISIKIKA MLEVI MMOJA AKIWA NA FURAHAAA SANAAAAAAA JIONI HIII....
 
Ngapi hukoo(in Agrey mwanri voice)
IMG-20181223-WA0002.jpeg
 
"It's a disaster. We don't talk about the title any more. If we can't win these games, we can't compete. We only talk now about top four. Maybe it's a lack of mentality. Stupid." - Rudiger
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom