Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa Conte si mmeshamtimsha?

Hivi bado mnapiga pasi nyingi au nazo zimeyeyuka?
Kwani wewe unaona tatizo la Man U liko kwa wachezaji na Makocha wanaokuja sasa hivi tu?

Fergason ndiye Mchawi namba 1 maana aliiacha timu imechukua ubingwa lakini kupitia uzoefu tu ila haikuwa na lolote.

So kumfukuza Conte siyo issue, bali pengo la Costa limeshazibika?
 
Sijui why Chelsea waliacha kuchukua deal la willian poor performance this season awe anatokea bench

Kuna Mambo 2 siwezi kuyasahau!

1) Pale Barcelona walipokuwa tayari kutoa £60m kwa Willian, Chelsea wakakataa mazungumzo na Barca.

2) Pale Mourinho alipotaka Kufanya Swap kwa Kutoa Martial to Chelsea ili apewe Willian, Chelsea wakampuuza Mourinho.

Nadhani Chelsea wanapaswa wajutie maamuzi yao hayo Mawili.
 
JOGINGHO NAYE NI PANCHA WALA HANA LOLOTE, KAZI KUBWA ANAIFANYA NG'OLO KANTE PEKEE, TENA NAONA HATA KOVACIC NI MZURI KULIKO LIJOGINHO
Kuna Mambo 2 siwezi kuyasahau!

1) Pale Barcelona walipokuwa tayari kutoa £60m kwa Willian, Chelsea wakakataa mazungumzo na Barca.

2) Pale Mourinho alipotaka Kufanya Swap kwa Kutoa Martial to Chelsea ili apewe Willian, Chelsea wakampuuza Mourinho.

Nadhani Chelsea wanapaswa wajutie maamuzi yao hayo Mawili.
 
Habar zenu tunazo
Pambana na hali yako huko, jitu hata mwaka wa mwisho LIVERFOOL kutwaa ubingwa wa EPL lilikuwa halijazaliwa lakini leo hii linajifanya kama ndilo lishabiki la kufa mtu kabisa mxiuuuuuu...!

LAKINI binafsi napenda Liverpool atwae ubingwa ili kidogo yule Kocha namba 1 kwa ubaguzi sana wa rangi duniani(Pep Gadiola) aiheshimu ligi bora duniani.
 
Hali yetu sio nzuri wadau leo ngoja nifikiri where went wrong tunafungwa vipi na leceister tena darajani ?
 
Poor result , but it's a wake up call we needed to find a decent striker..
It seem as we don't have character to react vigorously when we are 1 nil behind ,so if opponent leads us then we are total finished ,what kind of players without spirit
 
Pambana na hali yako huko, jitu hata mwaka wa mwisho LIVERFOOL kutwaa ubingwa wa EPL lilikuwa halijazaliwa lakini leo hii linajifanya kama ndilo lishabiki la kufa mtu kabisa mxiuuuuuu...!

LAKINI binafsi napenda Liverpool atwae ubingwa ili kidogo yule Kocha namba 1 kwa ubaguzi sana wa rangi duniani(Pep Gadiola) aiheshimu ligi bora duniani.
Ulivyo fyonzaa umefanana na manzi angu na yy huwa anafanya hivyo hivyo

Turud kwenye mada

Unajitekenya mwenyewe afuu unacheka sijui nishike lip
Sasa

Achane kupanic Big 4 mtaendelea kuwepo ucjal mkuu
Ila asante kwa kutuombea mazuri
Mkuu

Guardiola anataka afanye EPL ionekane simple kumbe sio kwel
 
Kwani kuna habari gan huku maana vilio vimetawala?

Je yule Mchezaji aliye kwenye Form kwa sasa Harzad hakuwepo uwanjan?😂😂
 
This game proves:

- We need more goalscorers in this team
- Willian shouldn't start a game for Chelsea again
- Hudson-Odoi > Willian
- Kovacic is good but hasn't got that needed goal-scoring threat
- 3 points lost
- Kepa outstanding
- Give Emerson a chance

Disappointing result


To be honest Alonso anaweza kuwa anastruggle na form this time lakini anao uwezo mkubwa kukaba na kumiliki mpira kuliko hata Azpilicueta, naongea kwa nia safi kabisa huyo Emerson bado sana kwa Alonso so kocha kimsingi hakosei kumweka Alonso over
 
Yule kenge tu yule misifa kibao bichwa likamzidi uzito linabolonga

Weka COVAC rudisha KANTE 6

Joginho ale bench

Joginho si ndo huyu aliyekuwa anapambwa mwanzon? Mi naona Chelsea wamuombe angalau Klopp awape Lallana ili kuwasaidia kuboost team😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom