Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Huyo anajuaga kuwakazia top 4 siyo kitoto. Cha msingi mkaze sana. Japo naombea draw
Nimepeleleza Kila Kocha huwa inatokezea kuwa hana Nyota flani hivi kwa Kocha Mwengine!
Kwahiyo kama ilivyokuwa PEP hana nyota nzuri kwa Klopp.. Na Klopp hana Nyota Nzuri kwa Mourinho.