Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Half Season? Usimuoverrate kwa sifa asiyokuwanayo ya ½season Wonder!

Mkuu bado haijafika Half season Ndiyo Kwanza Mchezo wa 15 na tayarai Baskeli ya Mabua imeishia Kimara mwisho ilipojaribu Kutaka Kuelekea Nzega ikitokea Ubungo.

Katafute Kumbukumbu utaona Stats kuwa Hazard ni Five Games Wonder "
hahahaha kapitwa na martial mkaa benchi
 
Hazard ni mchezaji mzuri,sawa, lakini tujiulize, anaweza kuwafungia mabao mangapi kwenye season moja? Mpaka sasa ameichezea chelsea game 317 na kufunga jumla ya magoli 97. Hii ni sawa na wastani wa magoli 0.39!

Mnaweza kumwachia akaenda zake huko madrid na mkapata winger mwingine mwenye ubora kama wake na bei ikawa ndogo. Alichonacho Hazard ni ile spark yaani amshaamsha ambayo anayo pia Willian na kidogo pedro,kumbuka those r wingers.
Kingine. Hazard anajua siri ya kupata balon di'or. Umri unaenda na anaamini ili upate ballon d'or lazima ukacheze soka spain hasa zile club mbili kubwa. Yaani Real Madrid na Barcelona....
Uefa ana goli 9 tu
 
Harzad ni half season wonder, Walitaka eti waanza kumcompare na Salah ambaye yeye kila mechi lazima afunge au atoe assist.

Jaman Hazard bado sana labda tumlinganishe na Wakina Zaha.
Mkuu kwa zaha umemshushia heshima.
 
dah huyu jamaa mbona munamdowngrade kiasi hiki ina maana iwobi ana afadhali!!!!!
Wanamuonea hazard ila na yy kwa nini hafikishi goli walau 15 kwa msimu kama lilivyo jina lake?
 
Hatuwezi mlinganisha hazard na Salah ,Salah aisaidie team yake kushinda chochote hauwezi kuwa mchezaji mzuri ukawa trophieless,wachezaji bora wananyanyua makwapa
Harzad ni half season wonder, Walitaka eti waanza kumcompare na Salah ambaye yeye kila mechi lazima afunge au atoe assist.

Jaman Hazard bado sana labda tumlinganishe na Wakina Zaha.
 
K
Hazard ni mchezaji mzuri,sawa, lakini tujiulize, anaweza kuwafungia mabao mangapi kwenye season moja? Mpaka sasa ameichezea chelsea game 317 na kufunga jumla ya magoli 97. Hii ni sawa na wastani wa magoli 0.39!

Mnaweza kumwachia akaenda zake huko madrid na mkapata winger mwingine mwenye ubora kama wake na bei ikawa ndogo. Alichonacho Hazard ni ile spark yaani amshaamsha ambayo anayo pia Willian na kidogo pedro,kumbuka those r wingers.
Kingine. Hazard anajua siri ya kupata balon di'or. Umri unaenda na anaamini ili upate ballon d'or lazima ukacheze soka spain hasa zile club mbili kubwa. Yaani Real Madrid na Barcelona....
Kufunga akuleti makombe muulize mfungaji bora mara mbili Kane kabeba nini,salah Kafunga kisha kaisaidia team yake nini? Wachezaji bora wanasaidia team zao kubeba makombe zingine porojo hazard alipo hawezi kukaa 3yrs trophieless haiwezekani same to Messi, Neymah, kylan, cr7 hawa lazima wanyanyue kombe
 
Half Season? Usimuoverrate kwa sifa asiyokuwanayo ya ½season Wonder!

Mkuu bado haijafika Half season Ndiyo Kwanza Mchezo wa 15 na tayarai Baskeli ya Mabua imeishia Kimara mwisho ilipojaribu Kutaka Kuelekea Nzega ikitokea Ubungo.

Katafute Kumbukumbu utaona Stats kuwa Hazard ni Five Games Wonder "

Hahahahaha nimecheka sana mkuu!
 
Hu
K
Kufunga akuleti makombe muulize mfungaji bora mara mbili Kane kabeba nini,salah Kafunga kisha kaisaidia team yake nini? Wachezaji bora wanasaidia team zao kubeba makombe zingine porojo hazard alipo hawezi kukaa 3yrs trophieless haiwezekani same to Messi, Neymah, kylan, cr7 hawa lazima wanyanyue kombe

Hujui ulisemalo wewe. Unadhan Fifa ni wajinga had kumuigiza kwenye Top3 ya world class player mtu kama Salah ambaye team yake haijabeba kombe wala national team haijafika hata 16 bora kwenye world cup?

Wenzako wanaangalia uwezo binafsi, kubeba kombe ni vague factor ndomana wakina Griezman, pogba hawajaambulia prize yeyote licha ya maana.
 
suala la nafasi sio ishu kubwa sana suala la maana zaidi tuangalie end of the season nani katoka na nini....isije ukaja kuleta stori tu hapa wakati ni trophiless........mara ngapi unakuwa katika hiyo nafasi then end of the day unainamisha kichwa chini wanaume wananyanyua kwapa........

Kwanza kwa idadi ya vikombe chelshit hampo hata Top5 ya vilabu england.nyie hata spurs kanyanyua kuwazidi, mpaka newcastle kawapiga bao.

Kwanza hakuna mashabiki wa chelsea, Tujiulze wametoka wapi ? Ni sawa ukute msgabik wa Psg au Mancity bongo, lazima tuwahoj mmetoka wapi?
 
Dude , nimeacha Kuku quote muda mrefu Sana wala sitakuja Kuku quote tena kwenye maisha yangu ya JF , ...
Please quote me ukitoka hapa , masikio yasizidi kichwa
IMG_20181203_020814.jpeg
 
Wolves 1 Man. City 1
Man utd. 1 Wolves 1
Wolves 1 Arsenal 1
Wolves 2 Chelsea 1

Tuna tatizo Sana kwenye kumalizia (striker ) na Alonso amekuea liability Sana past few games , Sarri lazima afanye mabadiliko kwenye nafasi ya Kante katika timu ili atumike kwa ufanisi zaidi , all in all nafasi hii usitoe ubora na Wolves against Big games, next man city tuangalie line up ya Sarri tuone Kama ana mbinu tofauti
 
Na wale wadau wa timu nyingine , endeleeni kujaza forum yetu ... Inaweza kuuwasaidia kupata hata Micky mouse cup at the end of the season
 
Na wale wadau wa timu nyingine , endeleeni kujaza forum yetu ... Inaweza kuuwasidia kupata hata Micky mouse cup at the end of the season

Mkuu hii ni kawaida watu kujaa kwenye forum ya timu ambayo imepata matokeo mabaya karibuni.

Liverpool alipofungwa na PSG, washabiki kibao wa timu zingine walijaa kwa Liverpool, Man Utd amepata wageni wengi msimu huu kwa sababu ya matokeo mabovu, na sasa hivi bundi anapigia makelele hapa, kwa hiyo wavumilie tu. Njia pekee ya kuwafukuza ni kushinda na kushinda tu.
 
Ndio maana nimewakiribisha waendelee kujaza forum ,
Mkuu hii ni kawaida watu kujaa kwenye forum ya timu ambayo imepata matokeo mabaya karibuni.

Liverpool alipofungwa na PSG, washabiki kibao wa timu zingine walijaa kwa Liverpool, Man Utd amepata wageni wengi msimu huu kwa sababu ya matokeo mabovu, na sasa hivi bundi anapigia makelele hapa, kwa hiyo wavumilie tu. Njia pekee ya kuwafukuza ni kushinda na kushinda tu.
 
Hah hah ... Mpira unachezwa huko sisi hapa jukwaani tunajaza server za Maxime Melo , all in all matokeo mabaya ndio kipimo cha kocha mzuri , acha tuoane next Sarri's approach vs Man city , hata kabla ya kupoteza mechi ya juzi tumekuwa na changamoto kadhaa recently za kimfumo na underperforming players Hazard akiwepo , Alonso , Luiz , Willian , Giroud na Morata,.. We have been here long enough , hatuwezi kuwafukuza wageni na wapita njia ..
Okay, inaonesha umekata tamaa ya kuwafukuza kwa njia ya kushinda siyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom