Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ningependa kumuona hazard akipata mafanikio makubwa lakin ni wwzi kabisa hawezi kuyapata hapa kwenye hii timu yangu...kiroho safi hazard move on,nenda kachase dream zako mdogo wangu
Mleteni Liverpool pale atapata namba dakika za 80 akishatoka Shaqiri
 
Hazard sio kwamba sio mzuri ila ni overrated player. Ni mchezaji wa kawaida sana
uwe seriously kwenye mambo ya mpira overrated player amekuwa mchezaji bora wa epl, ameingia fifa pro xi,anaongoza kikosi bora kabisa cha beligium uwe serious
 
uwe seriously kwenye mambo ya mpira overrated player amekuwa mchezaji bora wa epl, ameingia fifa pro xi,anaongoza kikosi bora kabisa cha beligium uwe serious
Eden Hazard is overrated. Get the point, sijasema Hazard ni mbaya hapana anajua kiasi chake lakini sifa anazopewa hastahili.

Get the point, usikurupuke.

Hazard is Overrated.
 
hili Sarri kalijibu mara nyingi kwamba kwa mfumo wake KAMWE hatamchezesha Kante mido ya Kati. kwa style ya mpira anaofundisha ni either Joginho ama Fab. upo kiongozi?

Wana Liver tutawasapot hyo jmos lengo letu Munchape man city kichapo cha mbwa koko, ili atuachie nafasi kule juu.
 
Hivi huyu Sarri hizi michango ya kwenye social media, website na forams kama Jamii forums anazisoma kweli?

Willian, Morata, Andreas, hawataisadia Chelsea kubaki top 4, Sarri aunde upya first XI ya timu, Januari beki muhimu wa kusaidiana na Rudiger na ASP asajiliwe, Kante acheze katikati, Kante anaonekana hachezi vizuri kwa sababu yuko wasted na mfumo wa Sarri. Forward kwa sasa hazard, Pedro, LFC na Giroud waanza, Willian, Morata waingie wacheze 20 or less minutes.
 
Hata yeye mwenyewe kiwango alichoanza nacho msimu sio alichonacho sasa kineshuka
Ningependa kumuona hazard akipata mafanikio makubwa lakin ni wwzi kabisa hawezi kuyapata hapa kwenye hii timu yangu...kiroho safi hazard move on,nenda kachase dream zako mdogo wangu
 
Eden Hazard is overrated. Get the point, sijasema Hazard ni mbaya hapana anajua kiasi chake lakini sifa anazopewa hastahili.

Get the point, usikurupuke.

Hazard is Overrated.
Kweli kabisa mkuu yani kiwango chake sio consistency.
 
Unajua wanaoiharibu Chelsea wala sio defence, katikati, kule mbele hawachezi mpaka wapinzani wanapata muda wa kupanga movement. Walahi angekuwepo Drogba, Diego Costa, Hazard, Lampard hao wanajidai mbele yetu leo wasingesogea hata kidogo kwa mabeki. Akina Willian, Morata wamegeuka kuwa mizigo kwenye timu, Hao ndio wanaiharibu timu na Sarri bado anawavumilia kama babu
 
Unajua wanaoiharibu Chelsea wala sio defence, katikati, kule mbele hawachezi mpaka wapinzani wanapata muda wa kupanga movement. Walahi angekuwepo Drogba, Diego COst, Hazard, Lampard hao wanajidai mbele yetu leo wasingesogea hata kidogo kwa mabeki. Akina Willian, Morata wamegeuka kuwa mizigo kwenye timu, Hao ndio wanaiharibu timu na Sarri bado anawavumilia kama babu

Mkuu unatamani watu waliostaafu tayari?

Hali ngumu kweli.
 
uwe seriously kwenye mambo ya mpira overrated player amekuwa mchezaji bora wa epl, ameingia fifa pro xi,anaongoza kikosi bora kabisa cha beligium uwe serious
Hazard ni mchezaji mzuri,sawa, lakini tujiulize, anaweza kuwafungia mabao mangapi kwenye season moja? Mpaka sasa ameichezea chelsea game 317 na kufunga jumla ya magoli 97. Hii ni sawa na wastani wa magoli 0.39!

Mnaweza kumwachia akaenda zake huko madrid na mkapata winger mwingine mwenye ubora kama wake na bei ikawa ndogo. Alichonacho Hazard ni ile spark yaani amshaamsha ambayo anayo pia Willian na kidogo pedro,kumbuka those r wingers.
Kingine. Hazard anajua siri ya kupata balon di'or. Umri unaenda na anaamini ili upate ballon d'or lazima ukacheze soka spain hasa zile club mbili kubwa. Yaani Real Madrid na Barcelona....
 
Harzad ni half season wonder, Walitaka eti waanza kumcompare na Salah ambaye yeye kila mechi lazima afunge au atoe assist.

Jaman Hazard bado sana labda tumlinganishe na Wakina Zaha.

Half Season? Usimuoverrate kwa sifa asiyokuwanayo ya ½season Wonder!

Mkuu bado haijafika Half season Ndiyo Kwanza Mchezo wa 15 na tayarai Baskeli ya Mabua imeishia Kimara mwisho ilipojaribu Kutaka Kuelekea Nzega ikitokea Ubungo.

Katafute Kumbukumbu utaona Stats kuwa Hazard ni Five Games Wonder "
 
hu
Half Season? Usimuoverrate kwa sifa asiyokuwanayo ya ½season Wonder!

Mkuu bado haijafika Half season Ndiyo Kwanza Mchezo wa 15 na tayarai Baskeli ya Mabua imeishia Kimara mwisho ilipojaribu Kutaka Kuelekea Nzega ikitokea Ubungo.

Katafute Kumbukumbu utaona Stats kuwa Hazard ni Five Games Wonder "
ukweli ni kwamba huna mchezaji wa kumlinganisha na hazard pale liver kwasasa
 
Hata hamn haya upo nafas ya ngap na huyo mwenye mpododo hapo CFC
suala la nafasi sio ishu kubwa sana suala la maana zaidi tuangalie end of the season nani katoka na nini....isije ukaja kuleta stori tu hapa wakati ni trophiless........mara ngapi unakuwa katika hiyo nafasi then end of the day unainamisha kichwa chini wanaume wananyanyua kwapa........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom