Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hah hah ... Mpira unachezwa huko sisi hapa jukwaani tunajaza server za Maxime Melo , all in all matokeo mabaya ndio kipimo cha kocha mzuri , acha tuoane next Sarri's approach vs Man city , hata kabla ya kupoteza mechi ya juzi tumekuwa na changamoto kadhaa recently za kimfumo na underperforming players Hazard akiwepo , Alonso , Luiz , Willian , Giroud na Morata,.. We have been here long enough , hatuwezi kuwafukuza wageni na wapita njia ..

That is beauty of the game, an ordinary person would think we are fools for losing time discussing tactical issues regarding our teams, but we fans know how important we are to the game, without us, there is no game. Who would they be playing for?

So, we are here till you chase us by winning day in day out.

Mfano mdogo nenda kwenye page ya Liverpool, frequency ya wageni kutoka Chelsea imepungua kwa sababu they feel ashamed kuipigia kelele timu ambayo at least iko in shape kulinganisha na yao.
 
That is beauty of the game, an ordinary person would think we are fools for losing time discussing tactical issues regarding our teams, but we fans know how important we are to the game, without us, there is no game. Who would they be playing for?

So, we are here till you chase us by winning day in day out.

Mfano mdogo nenda kwenye page ya Liverpool, frequency ya wageni kutoka Chelsea imepungua kwa sababu they feel ashamed kuipigia kelele timu ambayo at least iko in shape kulinganisha na yao.
Tunatofautiana kwenye huu "ushabiki" , some of us tuna prefer zaidi kubaki kwenye forums zetu kushangilia na kukosoa penye mapungufu kuliko kushinda forums za time nyingine na wale wengine ambao ni waweka kambi kwenye forums za timu nyingine simply kwa kuwa timu husika hazina matokeo mazuri , Ila huwezi kulaumu kitu kila mtu ana hulka zake ... Kwa hiyo wazee huu ni muda wenu kuweka kambi hapa najua at the end of the season silverware ndio zita define msimu .. We have been here, we are here and we will always be here , kwa niaba na "Rant boys" wote,KTBFFH
 
Tunatofautiana kwenye huu "ushabiki" , some of us tuna prefer zaidi kubaki kwenye forums zetu kushangilia na kukosoa penye mapungufu kuliko kushinda forums za time nyingine na wale wengine ambao ni waweka kambi kwenye forums za timu nyingine simply kwa kuwa timu husika hazina matokeo mazuri , Ila huwezi kulaumu kitu kila mtu ana hulka zake ... Kwa hiyo wazee huu ni muda wenu kuweka kambi hapa najua at the end of the season silverware ndio zita define msimu .. We have been here, we are here and we will always be here , kwa niaba na "Rant boys" wote,KTBFFH

Mkuu umeongea point kwamba tunatofautiana, mimi ni moja ya watu huwa natembelea pages za timu pinzani kujielimisha nini wanachojadili kuhusu timu zao and if I have input nazungumza, pia kutaniana in a good way, soft trash talks ni common kwenye sports, nahakikisha kwamba sivuki msitari, na kukiwa na mshabiki ambaye naona tutakerana kwa sababu ya abusive languages anazotumia huwa namweleza asipobadilika namweka kwenye ignore list maisha yanaendelea.

Kwa hiyo hata mkiwa mnafanya vizuri kuna muda nakuja kusoma updates, kuelewa vitu kadhaa kuhusu timu, maana huwa siwezi kwenda kwenye websites au knowledge tools za timu tofauti na ninayoishabikia, kwa hiyo najikuta source kubwa ya info ni JF.

All in all washabiki tunatofautiana kama unavyosema.
 
Alonso amechoka upande wake wanapita tu msimu huu magoli mengi yametokea kwake apmzishwe kdg
 
Chelsea will beat Man City!
Man City mechi zao tatu za mwisho wanashinda unconvicingly kwa teams pinzani kukosa mabao mengi ya wazi,hawawezi wakawa na bahati kila siku!
Hazard aki step up his game kidogo tu hii game wanashinda
 
suala la nafasi sio ishu kubwa sana suala la maana zaidi tuangalie end of the season nani katoka na nini....isije ukaja kuleta stori tu hapa wakati ni trophiless........mara ngapi unakuwa katika hiyo nafasi then end of the day unainamisha kichwa chini wanaume wananyanyua kwapa........
Endelea kukarili kama mtoto wa form 1
 
Na wale wadau wa timu nyingine , endeleeni kujaza forum yetu ... Inaweza kuuwasaidia kupata hata Micky mouse cup at the end of the season
Ww mwenyew umeujaza sana wa LFC na vicomment vyenu uchwaraa mambo yamewaharibikia mnashindwa muingie vp kule
 
Hah hah ... Mpira unachezwa huko sisi hapa jukwaani tunajaza server za Maxime Melo , all in all matokeo mabaya ndio kipimo cha kocha mzuri , acha tuoane next Sarri's approach vs Man city , hata kabla ya kupoteza mechi ya juzi tumekuwa na changamoto kadhaa recently za kimfumo na underperforming players Hazard akiwepo , Alonso , Luiz , Willian , Giroud na Morata,.. We have been here long enough , hatuwezi kuwafukuza wageni na wapita njia ..
Maneno ya shombo haya

Huu ni ushabik

Kisu kimegusa mfupaa
 
*Now that I am buying groundnut to mix it with my Koko and the seller is wearing blue jersey , let's remind ourselves how stubborn wolves took 3 pts from Chelsea and Sarriball best game so far*

*Wolverhampton vs Chelsea*

*Wolverhampton*
11 Rui Patrício (Goalkeeper)
5 Ryan Bennett (Defender)
16 Conor Coady (Defender)
15 Willy Boly (Defender)
2 Matt Doherty (Midfielder)
28 João Moutinho (Midfielder)
27 Romain Saïss (Midfielder)
29 Rúben Vinagre (Midfielder)
17 Morgan Gibbs-White (Midfielder)
18 Diogo Jota (Forward)
9 Raúl Jiménez (Forward)

*Chelsea*
1 Kepa Arrizabalaga (Goalkeeper)
28 César Azpilicueta (Defender)
2 Antonio Rüdiger (Defender)
27 Andreas Christensen (Defender)
3 Marcos Alonso (Midfielder)
7 N'Golo Kanté (Midfielder)
4 Cesc Fàbregas (Midfielder)
12 Ruben Loftus-Cheek (Midfielder)
22 Willian (Forward)
29 Álvaro Morata (Forward)
10 *Eden Hazard (Forward)*
*(Form of his life)*

Game begins in *52 mins*!

*Wolverhampton vs Chelsea*
Score: 0 - 1
Min: 18

Goal!!
Chelsea


*Wolverhampton vs Chelsea*

Possession *32% - 68%*
Shots on goal *0 - 3*
Saves *2 - 0*
Corner kicks *0 - 3*
Offsides *1 - 0*
Fouls *8 - 4*
Yellow cards *1 - 0*
Red cards *0 - 0*

*Wolverhampton vs Chelsea*
Score: 1 - 1
Min: 59

Goal!!
Wolverhampton

*Wolverhampton vs Chelsea*
Score: 2 - 1
Min: 65

Substitution!!
Olivier GiroudÁlvaro Morata
Chelsea

*Wolverhampton vs Chelsea*
Score: 2 - 1
Min: 68

Yellow to Rúben Vinagre
Wolverhampton

*Wolverhampton vs Chelsea*
Score: 2 - 1
Min: 90+5

Match over!!
 
Hivi Morata huwa ana nini kwenye miguu yake?? Yaani kila akipewa mpira lazima apoteze, katika watu wasio na madhara katika mabeki pinzani basi Morata ni namba moja.
 
Tunatofautiana kwenye huu "ushabiki" , some of us tuna prefer zaidi kubaki kwenye forums zetu kushangilia na kukosoa penye mapungufu kuliko kushinda forums za time nyingine na wale wengine ambao ni waweka kambi kwenye forums za timu nyingine simply kwa kuwa timu husika hazina matokeo mazuri , Ila huwezi kulaumu kitu kila mtu ana hulka zake ... Kwa hiyo wazee huu ni muda wenu kuweka kambi hapa najua at the end of the season silverware ndio zita define msimu .. We have been here, we are here and we will always be here , kwa niaba na "Rant boys" wote,KTBFFH
Ko huendagi forums za teams zingine?
 
Mkuu umeongea point kwamba tunatofautiana, mimi ni moja ya watu huwa natembelea pages za timu pinzani kujielimisha nini wanachojadili kuhusu timu zao and if I have input nazungumza, pia kutaniana in a good way, soft trash talks ni common kwenye sports, nahakikisha kwamba sivuki msitari, na kukiwa na mshabiki ambaye naona tutakerana kwa sababu ya abusive languages anazotumia huwa namweleza asipobadilika namweka kwenye ignore list maisha yanaendelea.

Kwa hiyo hata mkiwa mnafanya vizuri kuna muda nakuja kusoma updates, kuelewa vitu kadhaa kuhusu timu, maana huwa siwezi kwenda kwenye websites au knowledge tools za timu tofauti na ninayoishabikia, kwa hiyo najikuta source kubwa ya info ni JF.

All in all washabiki tunatofautiana kama unavyosema.
fact, mzee....
 
Ko huendagi forums za teams zingine?

Mkuu kwani humwonagi Liverpool?

Sasa hivi kwa sababu tia maji tia maji ndo anazuga eti anakuwa kwao tu.

Ni sawa na mtu ambaye amekonda kwa sababu za shida ila anasingizia diet.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom