Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Eden Hazard is likely to be part of today's training and could be fit for Sunday's match against Burnley.
Sarri: “We conceded space and conceded a very stupid goal and I didn’t like it. It’s very dangerous. If you make the same mistakes against a very high level opponent like Liverpool or United, you're in trouble. We need to control matches better, especially when we're in the lead"
We hazard kafanya nini kombe la dunia??Mesi alifanya nini kombe la dunia?
Hii ina uhusiano gani na swali???????Makombe ......... Chelsea ina miaka 112 lakini ina makombe 26 tu wakati Giggs ana miaka 44 ana Makombe 35 hahahahahahahahaha
Turudi kwa Salah na Hazard..... Magoli ni uwezo binafsi wa mchezaji Makombe ni Mafanikio ya timu.
Usimulinganishe mchezaji aliyeiwezesha timu kufika tatu bora kombe la dunia na mchezaji aliyeishia makundiWe hazard kafanya nini kombe la dunia??
Hujui hata unachokiongea.. nan kaishia makundi sasa???Usimulinganishe mchezaji aliyeiwezesha timu kufika tatu bora kombe la dunia na mchezaji aliyeishia makundi
Amekosa cha kujibu kwaiyo anajibu hovyo hovyo tu..Hii ina uhusiano gani na swali???????
Messi pamoja na Argentina waliishia hatua ya makundi.Hujui hata unachokiongea.. nan kaishia makundi sasa???
Hili ni tatizo kubwa sana na linatucost. Yan timu inapoongoza inajisahau kabisa katika ulinzi tuna concede magoli kizembe mno. Kama na wale mashetani tulijua tunashinda sema walikuja kupata moto baada ya kuona tunafungika. Bora kocha amewahi kuligungua hili mapema.
Messi pamoja na Argentina waliishia raundi ya 16 baada ya kutolewa na France kwa kipigo cha bao 4-3Hujui hata unachokiongea.. nan kaishia makundi sasa???
Aiseee...We hazard kafanya nini kombe la dunia??
Alipita kwenye group kaja kutolewa na france na ndiyo waliomtoa huyo hazad wenu.Messi pamoja na Argentina waliishia hatua ya makundi.
Kama kocha amegundua hili itakuwa ni vizuri sana.
Angejaribu hivi
Azp Kristiansen Rudger Alonso
Halafu Luiz awe anatokea bench kum backup Kristiansen.
Kati amuweke...
Kante Jorgihno Kovavic
Barkley awe sub ya Kova.
Mbele amuweke...
Hazard Giroud Willian
Pedro awe backup ya Willian na Morata/Ruben wawe backup ya Giroud..
Pia kocha ajaribu kuwapa nafas Odoi, Emerson, Ampadu..nk



Kama kocha amegundua hili itakuwa ni vizuri sana.
Angejaribu hivi
Azp Kristiansen Rudger Alonso
Halafu Luiz awe anatokea bench kum backup Kristiansen.
Kati amuweke...
Kante Jorgihno Kovavic
Barkley awe sub ya Kova.
Mbele amuweke...
Hazard Giroud Willian
Pedro awe backup ya Willian na Morata/Ruben wawe backup ya Giroud..
Pia kocha ajaribu kuwapa nafas Odoi, Emerson, Ampadu..nk
Mkuu Acha utani hata kama hazard hatakuwemo hawezi kucheza Loftus cheekKumekucha yule kijana ruben aliyefunga hattrik ni vyema leo akaanza mahala pa hazard kama hazard bado hayuko njema
Hii kitu Pep guadiola ilimkuta msimu wake wa kwanza alipokea sana vichapo mfululizoHili ni tatizo kubwa sana na linatucost. Yan timu inapoongoza inajisahau kabisa katika ulinzi tuna concede magoli kizembe mno. Kama na wale mashetani tulijua tunashinda sema walikuja kupata moto baada ya kuona tunafungika. Bora kocha amewahi kuligungua hili mapema.
Kama kocha amegundua hili itakuwa ni vizuri sana.
Angejaribu hivi
Azp Kristiansen Rudger Alonso
Halafu Luiz awe anatokea bench kum backup Kristiansen.
Kati amuweke...
Kante Jorgihno Kovavic
Barkley awe sub ya Kova.
Mbele amuweke...
Hazard Giroud Willian
Pedro awe backup ya Willian na Morata/Ruben wawe backup ya Giroud..
Pia kocha ajaribu kuwapa nafas Odoi, Emerson, Ampadu..nk