Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We hazard kafanya nini kombe la dunia??
Modric alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa michuano hiyo
Hazard alishika nafasi ya pili na kuchukua mpira wa silver
Griezman alishika namba tatu
Acha ubishi mkuu
Hata kwenye league zinazoendelea bado messi hajafikia ubora wa hazard tangu kombe la dunia liishe
 
Kama kocha amegundua hili itakuwa ni vizuri sana.

Angejaribu hivi

Azp Kristiansen Rudger Alonso

Halafu Luiz awe anatokea bench kum backup Kristiansen.

Kati amuweke...

Kante Jorgihno Kovavic

Barkley awe sub ya Kova.

Mbele amuweke...

Hazard Giroud Willian

Pedro awe backup ya Willian na Morata/Ruben wawe backup ya Giroud..

Pia kocha ajaribu kuwapa nafas Odoi, Emerson, Ampadu..nk
Kama uliangalia europa league katikati ya wiki Christensen na Cahill walikuwa na makosa mengi sana
So kwangu mimi luiz anaafadhali kuliko Christiensen
 
Kama kocha amegundua hili itakuwa ni vizuri sana.

Angejaribu hivi

Azp Kristiansen Rudger Alonso

Halafu Luiz awe anatokea bench kum backup Kristiansen.

Kati amuweke...

Kante Jorgihno Kovavic

Barkley awe sub ya Kova.

Mbele amuweke...

Hazard Giroud Willian

Pedro awe backup ya Willian na Morata/Ruben wawe backup ya Giroud..

Pia kocha ajaribu kuwapa nafas Odoi, Emerson, Ampadu..nk
Odoi Ampadu kuna match za kuwapa sio za kwenye EPL bado Odoi ana Utoto mwingi angalau Ampadu ana kitu tena akicheza kama kiungo au beki ya kati
 
Kepa

Azpilicueta... Rudiger... Christensen... Alonso

Kante... Jorginho... Kovacic

Pedro... Giroud... Hazard

NB
Alonso anacheza kama no 10 anapanda. Na Luiz vile vile. Ule upande wa kushoto unakuwa empty (vs Man u Mata akatoa cross) ndo maana Christensen ni bora awe anaanza kwa sababu anajua kukaba lakn hana aggressive na Leadership kama kwa Luiz.

Kwa game ya Leo (vs Burnley) Luiz (niliona post yake Ig anatibiwa juzi alipata injury mazoezin) na Barkley wanaweza kuanza.
 
Kepa

Azpilicueta... Rudiger... Christensen... Alonso

Kante... Jorginho... Kovacic

Pedro... Giroud... Hazard

NB
Alonso anacheza kama no 10 anapanda. Na Luiz vile vile. Ule upande wa kushoto unakuwa empty (vs Man u Mata akatoa cross) ndo maana Christensen ni bora awe anaanza kwa sababu anajua kukaba lakn hana aggressive na Leadership kama kwa Luiz.

Kwa game ya Leo (vs Burnley) Luiz (niliona post yake Ig anatibiwa juzi alipata injury mazoezin) na Barkley wanaweza kuanza.
Kikosi cha sarri kinajulikana siku zote kwenye EPL labda kuwe na majeruhi
Kepa
Aspi
Alonso
Luiz
Rudiger
Kovacic/Baklay
Jorginho
Kante
Wilian/Pedro
Morata/Giroud
Hazard
 
Kwenye europa league kikosi chake ni kama ifuatavyo
Cabalero/Kepa
Palmieri
Christiensen
Cahil
Loftus
Fabrigas
Baklay
Wilian
Giroud
Pedro/Odoi
 
Kikosi cha sarri kinajulikana siku zote kwenye EPL labda kuwe na majeruhi
Kepa
Aspi
Alonso
Luiz
Rudiger
Kovacic/Baklay
Jorginho
Kante
Wilian/Pedro
Morata/Giroud
Hazard

Wishful thinking inaruhusiwa.

Luiz labda apate majeruhi ndo hatocheza.


Labda tu kwa leo natamani Giroud na Pedro waanze.
 
Wishful thinking inaruhusiwa.

Luiz labda apate majeruhi ndo hatocheza.


Labda tu kwa leo natamani Giroud na Pedro waanze.
Giroud hapana kwa sababu match ya europa league aliniuzi sana
Hapo labda morata na Pedro
Wilian aanzie bench
 
Odoi ana utoto!!! Game vs BATE (Odoi amecheza dakka 30 vs Willian (alitoa assist) dakka 57) Lakini me naenda kwa Odoi awe anaanza. Willian anapoteza mipira, too slow, anapooza mashambulizi. Odoi ni umeme nyie kuanzia dribble zake ni hatari. Rating (Willian 8.3 ile assist imemsaidia na Odoi 7.2) kwenye finishing kila mtu anajua Willian alivyo ha ha hah.
Odoi Ampadu kuna match za kuwapa sio za kwenye EPL bado Odoi ana Utoto mwingi angalau Ampadu ana kitu tena akicheza kama kiungo au beki ya kati
 
Modric alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa michuano hiyo
Hazard alishika nafasi ya pili na kuchukua mpira wa silver
Griezman alishika namba tatu
Acha ubishi mkuu
Hata kwenye league zinazoendelea bado messi hajafikia ubora wa hazard tangu kombe la dunia liishe
We jamaa unazingua kwenye ligi mpka sasa unamlinganisha messi na huyo jamaa kwa kipi acha unazi mkuu.Form ya messi kabla ya kuumia mkono siyo ya kitoto man.
Alaf huyo aliyewekwa mfukon na young huwa hawezi shoo za kikubwa huwa anajua kudrible kwa vitoto tu.
 
Odoi ana utoto!!! Game vs BATE (Odoi amecheza dakka 30 vs Willian (alitoa assist) dakka 57) Lakini me naenda kwa Odoi awe anaanza. Willian anapoteza mipira, too slow, anapooza mashambulizi. Odoi ni umeme nyie kuanzia dribble zake ni hatari. Rating (Willian 8.3 ile assist imemsaidia na Odoi 7.2) kwenye finishing kila mtu anajua Willian alivyo ha ha hah.
Sikupingi mkuu ila dribble za odoi zimejaa Utoto mwingi
Wilian bado anastahili kupewa heshima yake
Akili ya odoi mbele ya nyavu ni tofauti na akili ya wilian mbele ya nyavu
 
Kwa mabeki wa Burnley aanze Morata Mlaini. Na hazard akikikamatwa basiii. Willian no effect labda Pedro aanze. Pedro na Giroud na Hazard ndo best front three yetu. Ila nataman Sarri
Giroud hapana kwa sababu match ya europa league aliniuzi sana
Hapo labda morata na Pedro
Wilian aanzie bench

ambadili Odoi awe no 9 kama alivyofanya kwa Dries Mertens
 
We jamaa unazingua kwenye ligi mpka sasa unamlinganisha messi na huyo jamaa kwa kipi acha unazi mkuu.Form ya messi kabla ya kuumia mkono siyo ya kitoto man.
Alaf huyo aliyewekwa mfukon na young huwa hawezi shoo za kikubwa huwa anajua kudrible kwa vitoto tu.
Kwani mara ngapi messi anawekwa mfukoni na barca inaishia kutoa sare kwenye match
 
Messi pamoja na Argentina waliishia hatua ya makundi.
Waliishia kwenye kundi la 16 baada ya kuwafunga Nigeria kwenye mechi ya mwisho ya Kundi kwa magoli 2:1 limiwemo la Messi dk ya 14 na Rojo dk ya 86. Argentina ilitolewa na France yakiwemo magoli mawili safi ya Kylian Mbape
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom