eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Modric alitwaa tuzo ya mchezaji bora wa michuano hiyoWe hazard kafanya nini kombe la dunia??
Hazard alishika nafasi ya pili na kuchukua mpira wa silver
Griezman alishika namba tatu
Acha ubishi mkuu
Hata kwenye league zinazoendelea bado messi hajafikia ubora wa hazard tangu kombe la dunia liishe