Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Alafu wewe kisa ni nini cha kupotea hivyo?
Nimekumiss sn ujue
Nimekumiss sn ujue
Majirani.
Mmejiandaaje leo kwa kichapo heavy???
Majirani.
Mmejiandaaje leo kwa kichapo heavy???
Anataka kucheza mpira wa kasi sn maana Morata ni mwepesi sn kuliko Giroud.
Kitu kingine Morata amekua akiwafunga sn hawa Utd hivyo anataka kuitumia hiyo nafasi. Ata hivyo atacheza Dk 60 tu then ataingia Giroud
Morata ni technical prayer sema anakosa confidence kwa sasa. Alafu Sarri ni aina ya kocha ambaye anatumia wachezaji anaopewa. Kazi yake ni kudevelop playersNinachokiona Sarri anataka kurudisha morali kwa Morata. Kuna kitu kakiona kwa Morata si bure. Ngoja tumpe muda
Kama umebet hivo Mkuu mkeka wako umechanika tayari.Prediction today
Chelsea 3
Liver 2
Man city 3
Dah uchambuzi mwingine, Morata kawafunga Man Utd goli ngapi kwani katika career yake yote hadi useme huwa anawafunga? I Think Hazard Ndio kawafunga Man Utd magoli mengi kuliko any current Chelsea player.Anataka kucheza mpira wa kasi sn maana Morata ni mwepesi sn kuliko Giroud.
Kitu kingine Morata amekua akiwafunga sn hawa Utd hivyo anataka kuitumia hiyo nafasi. Ata hivyo atacheza Dk 60 tu then ataingia Giroud
Na leo atafunga pia ..Dah uchambuzi mwingine, Morata kawafunga Man Utd goli ngapi kwani katika career yake yote hadi useme huwa anawafunga? I Think Hazard Ndio kawafunga Man Utd magoli mengi kuliko any current Chelsea player.
Morata I guess ni moja tu Kama kumbukumbu zangu zipo sawa
Kweli Gemu nyepesiNa leo atafunga pia ..
Maana gemu ishakuwa nyepes..
leta hizo stats zako now MkuuMatch statsView attachment 904829
@eden kimario I told u mkeka utachanikaKama umebet hivo Mkuu mkeka wako umechanika tayari.
Hahahahhaa, Poleni asee, nilijua mikeka mingi ingechanwa leoNyie wapiga ramli naona mnakandwa kindezi mbwa nyie mnatuchania mikeka
Draw leo wanaisaka kama ushindiHahahahhaa, Poleni asee, nilijua mikeka mingi ingechanwa leo
Mourinho hata msimu ulioisha round y 2 alizifunga liver na chelsea akiwa na kiwango duni hivhivIkifika kwenye mbinu morinyo hakawii kutushangaza,afungwi na team kubwa hovyo
Ila kakuudhi kakuchania mkekaMourinho hata msimu ulioisha round y 2 alizifunga liver na chelsea akiwa na kiwango duni hivhiv
Sema amenifurahisha sana kuwaziba midomo hawa wapiga ramli