Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1538641803284.png


Kuna uwezekano dogo akapangwa kuanza leo..aache ulegelege anapokuwa hana mpira.
 
Epl haifananishwi banah ni ligi bora aisehhh sio mpaka nikuoneshe, angalia nafasi ya kwanza timu mbili zinagongana kwa point ambacho kinawatofautisha ni magoli, timu zina spirit mpaka ni ngumu kutabili ushindi sio timu kubwa sio timu ndogo,ukienda seria A juventus kamuacha napoli kwa point
Kugongana point inaweza kua:

- ishara ya ligi yenye timu zenye uwezo unaoendana mkuu,

-ila linapokuja suala la ubora wa ligi inakua tofauti

-ligi bora, kwa maoni yangu inatokana na ubora wa team zake

-kwasasa naweza kusema Laliga ni bora kuliko ligi zingine, kutokana na ubora wa team zake kwenye mashindano yanayojumuisha ligi zote, kama uefa nk.
 
1538642025029.png


Hawa wawili haijajulikana bado kama wataanza.

Kocha amesema atafanya mabadiliko matano au sita...hivyo labda Fabregas ataingia kumpumzisha Jorginho.

1538642087169.png
 
Danny Drinkwater....

Naona kama career yake ndiyo imefikia mwisho.

Aligoma kuondoka msimu wa kiangazi wakati wa dirisha la usajili akiamini kocha atakayekuja atamtumia.
Ana miaka 28 sasa
 

Attachments

  • 1538645714771.png
    1538645714771.png
    151.5 KB · Views: 23
Mkuu nasikia hii Europe ndogo haina ubia na Super sports ktk kuonyesha michuano hii, hivi ni kweli kiongozi...?

Hili ni suala jipya kwangu...

Nimeangalia sasa hivi TV schedule ya Supersport 3 na mechi zitaoneshwa.

Itaanza ile ya Arsenal na Quarabag kisha yetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom