OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hawa madogo kumbe wako mkopo Derby Count! kwani sheria inaruhusu muchezaji kucheza dhid ya timu yake mkuu?Naona Lampard anaiomba klabu ya Chelsea iwaruhusu Fikayo Tomori na Mason Mount wacheze dhidi yetu wakati tutakapokutana dhidi yao (Derby County).
Sheria za mchezo zinasema wachezaji waliotolewa kwa mkopo hawaruhusiwi kucheza dhidi ya timu mama isipokuwa kwa makubaliano ya awali baina ya timu hizo mbili.
View attachment 884475