Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Congratulations to @RBarkley8 and @MasonMount_10, who have both been named in Gareth Southgate's latest @England squad! 💪🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
 
Ligi ya Uingereza ni competitive kweli kwa maana ya kuwa na timu nyingi zenye uwezo wa kushinda ligi (Kwenye 'nyingi' ondoa Liverpool, Man utd na Arsenal heheh).

Ligi ya Uingereza ni ligi yenye kujua kuji-market. Mara nyingi hata ununuzi wa wachezaji unaangalia soko la watazamaji.

Hivyo kwa ligi kama ligi unaweza ku-argue kuwa ni bora and more entertaining lakini kwa timu moja moja unakuta kuna timu kama Real Madrid labda au Barcelona ambazo ni bora kuliko timu za ligi ya Uingereza ila kwa ligi nzima ya Spain inakuwa sivyo.
Kwa miaka 10 mfululizo ......
Wachezaji bora wa dunia wametoka ligi gan?
Uefa team za ligi ipi zimechukua?
Europa zimechukua team za ligi IPI?
Club bingwa dunia zimechukua team za league IPI?
Sorry kiswahili changu c kizur but mtu akipata majibu ya hayo maswali atajua ligi gan ni bora
 
Mkuu naona Danny bado ana nafasi nzuri tu ya kicheza. Hasa kwam gemu kama hizi za leo ..anaweza kuwa sub nzuri tu ya Fab au Barkley
Danny Drinkwater....

Naona kama career yake ndiyo imefikia mwisho.

Aligoma kuondoka msimu wa kiangazi wakati wa dirisha la usajili akiamini kocha atakayekuja atamtumia.
Ana miaka 28 sasa
 
Kwa miaka 10 mfululizo ......
Wachezaji bora wa dunia wametoka ligi gan?
Uefa team za ligi ipi zimechukua?
Europa zimechukua team za ligi IPI?
Club bingwa dunia zimechukua team za league IPI?
Sorry kiswahili changu c kizur but mtu akipata majibu ya hayo maswali atajua ligi gan ni bora
Wametoka kwenye timu ngapi za La Liga??!
 
Kikosi cha leo...

IMG_20181004_210840.jpg
 
bro apa utakuwa umezingua.

Willian ana uwezo mkubwa wa kubadilisha matokeo.

Odoi ana mengi ya kujifunza kwa Willian...
Sidhan yaani mpaka kocha pellegrin anasema alikuwa anakaba upande wa hazard. Maana upande wa willian hauna effect. Finishing ya Odoi ni hatari kk labda huangalii game zake hata pree season kacheza ndo alikuwa main player wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom