Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,931
- 27,186
Daah ni changamoto sana mkuu. Ngoja ifike January tuone itakuaje. Nyie foward yenu sidhani kama ni butu kiivyo. Ni suala la muda tu Bobi na Salah wanarudisha moto waoNi Kawaida Katika Mpira Unaboreka Sehemu Moja na Kuwa Weak Sehemu Nyengine...
Msimu Uliopita Foward Yetu ilikuwa Haishikiki lakini Kipa na Beki ilikuwa Mbovu balaa...
Msimu Huu Kipa na Beki Yetu Nzuri sana Lakini Forward imekuwa Butu manake Salah na Mane Wanakosa Goli tupu...
Kwahiyo Na Nyinyi Midfield Muko Vizuri lakini Forward butu.. Siku Forward ikiwa imara utakujakutia Midfield au Beki haitazamiki.
Hiyo ndiyo Soccer.