Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wale hawaamini kama wamesuluhu ...hata Klopp atakuwa haamini; maana waliona Chelsea ni njia nyepesi sana.

Sasa #TutaheshimianaTu.
 
Chelsea were lucky to steal one point from an outstanding Liverpool display especially in the second half where the Chelsea team looked mediocre than a League One side.
 
Sarriball anajua kufundisha mpira!
Leo ilikuwa ni EPL sio kombe la BATA,huwezi mfunga Liverpool huyu akiwa kamili hata tuchezee Mvomero
Ilikuwa mechi nzuri sana lkn mmekutana na Liverpool yenye benchi zuri
1-1 ni fair result
Ingieni mitaani kushangilia ushindi wenu
Mentor
Ntuzu
kalou
Ollachuga Oc
hazard cfc
Kwa hiyo umefurahi kupata sare.?
 
Kama unafuatilia Posts Zangu basi utagundua Huwa Ninakataa Katakata Kutabiri Matokeo na Husema Kuwa Mimi Ni Muumini Wa Dakika 90'.

Nakushauri Kuwa Nawewe ujifunze hivyo.
Fuatilia post zangu Huku toka mwanzo kabla ya match nilisema inaisha sare hii match
 
Kama unakuja kushangilia point moja huku wewe ni MPUMBAVU , nilifikiri utaendelea na msemo wako wa "someone will suffer ".. Stupid ..

Mimi ni Mshabiki Wa Mpira Kwahiyo Siwezi Kuandika Maneno Kama Uliyoandika Wewe Kwani Sijui Upo Katika Hali gani..

Na Sijaja Kushangiria Draw (Point 1) Hapa bali Nimeleta Mrejesho Kwa Watu Maalum Kwa Post Zangu za Last Week nilizoziandika.
Na ndiyomana Nimetaja (Nimetag) Jina Kwa Kila Post Nikimaanisha Si Ujumbe wa Kila Mtu bali Ni Watu maalum.

Brother Jifunze Usataarabu Wa Kuzungumza na Wanaume Wenzio Bifu zisizo na maana Hazitakusaidia kitu.

Hata usingetia neno UPUMBAVU au STUPID basi ningekuelewa tu haina Haja ya Kuonesha kuwa Unajua Kupakazia.

Ni ushauri tu! Ukihisi upo sawa unaweza kuendelea.
 
Na Kauli Yangu Ya Kuwa "Someone will Suffer" hii niliilenga Kuwa Atakaepoteza Mchezo atajuta Kuzaliwa Katika Thread Yake... Hilo ndiyo lengo langu! Na wala sikumaanisha Ni Chelsea ndiye atakaye Suffer.
 
Mimi ni Mshabiki Wa Mpira Kwahiyo Siwezi Kuandika Maneno Kama Uliyoandika Wewe Kwani Sijui Upo Katika Hali gani..

Na Sijaja Kushangiria Draw (Point 1) Hapa bali Nimeleta Mrejesho Kwa Watu Maalum Kwa Post Zangu za Last Week nilizoziandika.
Na ndiyomana Nimetaja (Nimetag) Jina Kwa Kila Post Nikimaanisha Si Ujumbe wa Kila Mtu bali Ni Watu maalum.

Brother Jifunze Usataarabu Wa Kuzungumza na Wanaume Wenzio Bifu zisizo na maana Hazitakusaidia kitu.

Hata usingetia neno UPUMBAVU au STUPID basi ningekuelewa tu haina Haja ya Kuonesha kuwa Unajua Kupakazia.

Ni ushauri tu! Ukihisi upo sawa unaweza kuendelea.
mkuu kuna watu kwao bila kutukana wanahisi hawatauona ufalme wa mbinguni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom