Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani Mentor unakaa mbele ya TV una amini kabisa kuwa Liverpool kamili anapoteza kwa Chelsea?
Really?Acha utani ndugu yangu!
Ingieni mitaani kushangilia ushindi wenu
 
Sarriball anajua kufundisha mpira!
Leo ilikuwa ni EPL sio kombe la BATA,huwezi mfunga Liverpool huyu akiwa kamili hata tuchezee Mvomero
Ilikuwa mechi nzuri sana lkn mmekutana na Liverpool yenye benchi zuri
1-1 ni fair result
Ingieni mitaani kushangilia ushindi wenu
Mentor
Ntuzu
kalou
Ollachuga Oc
hazard cfc
Nyie ndio mnashangilia mimi hapa ninahuzuni kudrw na timu kama liva
 
Sija ku quote mzee wa "someone will suffer " .. please DO NOT QUOTE ME ....

Hata Kama HukuniQuote Lanikini Message Yako imekuwa Directed Kwangu mimi..
That is why mimi sikuhitaji Kukujibu Kimafumbo bali nemechukua uwamuzi wa Kukujibu Kwa KukuQuote moja kwa Moja.[/QUOTE]
 
Usisumbuke na washabiki wa Liverpool Tanzania hawajawai kuiona team yao ikichukua ubingwa wa ligi kuu live wameona kwenye you tube, TV miaka ya 80 Tanzania hii hazikuwepo
 
Na Jengine Mkuu Mentor iangalieni tena Sarriball yenu..

Kwama Wewe Ni Mshabiki Wa Chelsea tu basi Leo Ni sawa!!!

Lakini Kama wewe Ni Mshabiki Wa Mpira Kabla Ya Chelsea basi kuna Weakness Kubwa Sana Katika Mfumo Wenu na Stats Zinaonesha Kuwa Leo Haukufunction Klopp Kafanikiwa Kuutibua..

Sasa Liverpool si timu inayopress Marahii na imefanikiwa Kuudhibiti Sarriball, sasa Siku Mutakayokutana na Timu inayomiliki (Press) Mpira sijui itakuwaje!!!
Nilikwambia ukitaka kutudhibiti Chelsea ni lazima umiliki mpira kuliko au zaidi yetu. Majibu unayo toka alipoingia Keita.

Si mbaya draw ila bado tatizo lipo kwenye ufungaji. Mfumo ni mzuri ila bado haujakamilika au haujapata watu kamili wa kuuendesha. Bado tunahitaji kusajili zaidi.
 
1 month under Maurizio Sarri and the team is doing a great job so far, still much area for improvements but we should be thankful for what we have done so far! #CFC #KTBFFH 🔵
 
Nilikwambia ukitaka kutudhibiti Chelsea ni lazima umiliki mpira kuliko au zaidi yetu. Majibu unayo toka alipoingia Keita.

Si mbaya draw ila bado tatizo lipo kwenye ufungaji. Mfumo ni mzuri ila bado haujakamilika au haujapata watu kamili wa kuuendesha. Bado tunahitaji kusajili zaidi.

Ni Kawaida Katika Mpira Unaboreka Sehemu Moja na Kuwa Weak Sehemu Nyengine...

Msimu Uliopita Foward Yetu ilikuwa Haishikiki lakini Kipa na Beki ilikuwa Mbovu balaa...

Msimu Huu Kipa na Beki Yetu Nzuri sana Lakini Forward imekuwa Butu manake Salah na Mane Wanakosa Goli tupu...

Kwahiyo Na Nyinyi Midfield Muko Vizuri lakini Forward butu.. Siku Forward ikiwa imara utakujakutia Midfield au Beki haitazamiki.

Hiyo ndiyo Soccer.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom