?????BTW angalia jinsi Spurs walivyowafanya vijana waliowatoa kamasi jana ... ... ..
![]()
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
BTW angalia jinsi Spurs walivyowafanya vijana waliowatoa kamasi jana ... ... ..
![]()
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Duuuh! Yaani Spurs kufungwa 4-0 ndio KUWAFANYA Fulham??!!:sick:
Peasant, nimeangalia BBC, Guardian, his interview kupitia Home - Liverpool FC zote amesema he has huge repsect for the magpies and he didnt want to leave, he was forced na magpie waliona inflated price wakaipenda... follow this link Andy Carroll claims he was forced to leave Newcastle for Liverpool | Football | guardian.co.ukNdiyo maana nasema uko very bias and hypocritical, unasema alichosema Carroll kwa Loserfools lakini hausemi chochote kuhusu statement ya kocha wa Newcastle, Alan Pardew aliyoitoa kupinga kauli ya Carroll. Najua unajua alisema nini, lakini kwa kuweka record sawa hiyo hapo chini
I thought spuds walifungwa kombe la kinesiBTW angalia jinsi Spurs walivyofanywa na vijana waliowatoa kamasi jana ... ... ..
![]()
khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Peasant, nimeangalia BBC, Guardian, his interview kupitia Home - Liverpool FC zote amesema he has huge repsect for the magpies and he didnt want to leave, he was forced na magpie waliona inflated price wakaipenda... follow this link Andy Carroll claims he was forced to leave Newcastle for Liverpool | Football | guardian.co.uk
Na liverpool owner alisema his valuation of Carrol was 15M less than Torres ili hiyo 15 aongezee 6 ya Babel kumlipia Suarez... that is rational business decision, let alone a smaller payroll compared to To-rest and Barber
Mbona unabishia vitu vilivyo wazi?? hebu google search And Carrol transfer to Liverpool au weka Carrol: i didnt want to leave newcastle
Umeshikwa pabaya chutama mkuu mwenzangu
Dont rush into that bro....koz bado hamjacheza na Man U twice...so hapo mna point 6 na mtakua mmeshapunguza gap kwa kiasi kikubwa sana....Yaani kati ya waliopo juu yenu ni Arsenal tu ndo mmeshamaliza nao game...the rest mtacheza nao...Yaani T'ham, and Both Manchester Clubs City and Utd.....So its up to ur Men to do it on the pitch....Coming May nobody knows....
Nimemuona leo Invisible kwenye thread ya Gatuso,bado AB Tchaaz
kwa mpira huu ndugu zangu z bluzz mlioonesha first half, mkiendelea nao kwa mwezi tu mmoja mbeleni, am comfortable to say tht msimu ujao mnacheza europa league na kina liva.
Tuko pamoja.
Kila nikimwangalia Ramires siamini kama hyu ndiye wa Sauzi. Au ndo usemi ule kuwa EPL haiwafai Wa America kusini?