Wamekimbia jukwaa lao ha ha ha.
Ndiyo zao hizo Mkuu hahahahahah......naanza kuingiwa na wasiwasi mechi yao ijayo na MANU kama wataweza kuwafunga ili wapunguze pengo kule juu.
Ah! Chelsick! Poleni sana wakuu...lile garasa lenu (wastage of 50m pounds) hata kwenye bench halikuwepo leo.
![]()
The lone figure ... .... khe khe kheeeeeeeeeeeee
![]()
BTW : Bundi amekataa kuondoka leo kutokana na mvua iliyokuwa inanyesha kwa kiasi .... ..... ..... ameamua kupumnzika kwenye makuti (near the cow shed) hivyo matanga ni kama kawa ..... .... you better kiss FA cup goodbye khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
naona mikel kadindisha t@k0![]()
Siku hizi kazi yao kulia lia tu lool.
Wamekimbia jukwaa lao ha ha ha.