Mkuu MTM,
Nafikiri haujaelewa ninachojaribu kusema hapa. Sikatai kwamba Carroll alisema hakutaka kuhama Newcastle kwenda Liverpool, nakubali kabisa kwamba alisema. Lakijni baada ya yeye kutoa hilo tamko, manager wa Newcastle, Alan Pardew alilipinga na kusema Newcastle hawakumlazimisha Carroll kuondoka, nini yeye mwenyewe Carroll alikuja na idea kwamba anataka kwenda Liverpool na akatoa transfer request (nimekuwekea quote kwenye previous post). Kuanzia hapo hakuna aliyejitokeza kupinga statement ya Pardew, kwa hiyo inawezekana kabisa Carroll aliongopa ili kutowaudhi washabiki wa Newcastle. Kinachonishangaza ni wewe unazidi kuniwekea story ya upande mmoja tu aliyosema Carroll, lakini hausemi chochote kuhusu story ya Pardew ambayo inapinga story ya Carroll, hili ndio linanifanya nikuone uko hypocritical.
Na wewe unaweza ku-google Andy Carroll wanted to leave, utapata kila kitu huko...nashangaa kama ulikuwa haujui hii habari kama Liverpool fan.
Try to be impartial, modern football is all about money not loyalty.