Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,736
- 1,582
Hazard alianzia benchi mechi ya kwanza na ya pili, Kovacic pia ameanza mechi 1 kati ya hizo. Willian ameanza mechi 2 huku nyingine akianzia benchi.Then Kwanini Satas Zisioneshe Kina Kante, Kovacic, Hazard na Willian Ndiyo Wenye Passes Nyingi Kwasababu Wao Ndiyo Midfielders Wachezeshaji na Midfielders Washambuliaji?
Kwahiyo Mabeki Ndiyo Wanaocheza Mpira Kuwachezesha Mafowards Huku Midfielders Zenu Kina Kante, Hazard, Kova na Willian Wakiwa Wamerelax tu?
Pia katika mechi ambazo Kovacic na Willian wameanza hawakicheza dk hata 70. Wamekuwa wakitolewa uwanjani ili kuwapa Pedro na Barkley nafasi za kucheza.
Pia sababu nyingine ni kwamba Hazard, Kovacic na Willian ni aina ya wachezaji ambao wanakaa sana na mpira(They are not immediate passers). Muda mwingi wapata mpira wanataka wakimbie nao, wadribble past the opponent players nk.
Kante kwa sasa hawezi kuwa na pass nyingi ukiweka maanani kwamba anacheza mbele ya midfielders wawili. Na hii ni nafasi mpya kwake kwa hiyo anahitaji muda kidogo kuadapt na mara nyingi mipira inayotoka kwa Jogihno na Covacic, Barkley yanaelekea upande wa kushoto zaidi kuliko kulia ambapo Kante anacheza.
Chelsea unautajiri mkubwa pale mbele pembeni na katikati(midfield). Hazard, Pedro, Willian, Odoi na hata Moses, Barkley, Kante, Joginho, Kovacic, Loftus cheek). Tofauti na nyuma ambapo kwa msimu huu mabeki hawajabadilika.
