Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wazee wa mipass league kuu England
Screenshot_20180908-073255.jpg
 
CHELSEA

74 CESAR AZPILICUETA

After making the transition from fullback to center back a couple seasons ago, the Spaniard has thrived by playing the position to his strengths. Azpilicueta has a whopping 87 Defending rating, which illustrates his excellence at the most important part of his position. While he’s not as tall as some of the giant center backs out there, his strengths (intelligence, quick feet) more than compensate as he has cemented a spot in one of the best defences in the English Premier League.


View attachment 860197

Nyinyi Endeleeni Kujitengenezea Useless Stats lakini Stats Za Kweli tunaziona Uwanjani.
 
Nyinyi Endeleeni Kujitengenezea Useless Stats lakini Stats Za Kweli tunaziona Uwanjani.

I just copied from the latest FIFA rankings, 2019.

Nimeona Firmino huko namba 65. Hongera zake.

NB: Wametoa mpaka 61 (yaani 100 - 61). Huko nimeona Liverpool wengi. Bado wanaendelea.

By the way, hata wao wanaangalia delivery yao uwanjani kwa ajili ya ranking. Nikutakie weekend njema mkuu.

Mechi mbili za huu mwezi zitaamua mbabe. Uzuri kwa jumla tutakuwa na mechi tatu msimu huu. Best of 3, what do you say???!
 
I just copied from the latest FIFA rankings, 2019.

Nimeona Firmino huko namba 65. Hongera zake.

NB: Wametoa mpaka 61 (yaani 100 - 61). Huko nimeona Liverpool wengi. Bado wanaendelea.

By the way, hata wao wanaangalia delivery yao uwanjani kwa ajili ya ranking. Nikutakie weekend njema mkuu.

Mechi mbili za huu mwezi zitaamua mbabe. Uzuri kwa jumla tutakuwa na mechi tatu msimu huu. Best of 3, what do you say???!

Kitakachokutokea kipo Wazi Kabisa Maybe unaweza Ukaambulia Sare moja ya Hapo Darajani.
 
Unajua Maana Ya Hizi Stats Mabeki Wenu Wengi Kujitokeza?
Ni Kwamba Munacheza Zaidi Katika Half Yenu Na Miback Passes Kuliko Kwenye Half ya Wapinzani Wenu.

Am sure you know the truth. Mara nyingi kama hujawahi kuangalia mechi ukaona beki ana passes nyingi, unakuwa sahihi ukija na assumption hiyo.

Ila kama umewahi kuangalia mechi zetu hizi nne utajua kuwa hilo si kweli kwa sababu kuu mbili.

1. Mara nyingi mpira unaoanzia kwa kipa huwa haupigi mbele. Huwa anawaanzishia Rudiger au Luiz.

2. Mechi hizi nne tumedominate mpira kwa zaidi ya 70%. Muda mwingi rudiger na Luiz wanakuwa katikati kabisa ya uwanja na wakati huo wanakuwa part of the attacking squad.

By the way, si lazima uponde kila kitu mkuu. Tukiwa tunahamisha mashambulizi from left to right, or one side to the other, or nyuma kwenda mbele, mara nyingi lazima mpira upitie kwa Jorginho. Sasa kwa nini uumie akiwa na passes nyingi. Hiyo nafasi msimu uliopita alikuwa Fabregas.
 
Hazard mkataba wake unaisha June 2020, by then atakuwa almost 30years na atakuwa ameshaitumikia Chelsea misimu 8 ,hata akiamua kuondoka nafikiri itakuwa fair move kwa both sides na ataendelea kuheshimika japokuwa naona Hazard hana mawenge sana na swala la kuhama hama timu angelikuwa mchezaji mwingine angeshaondoka muda mrefu
Na hicho ndicho ninachompendea huyu mnyama Hazard. Hana makuu, anajiheshimu, ana nidhamu, Hana tamaa pia najua nafanya Nini uwanjani na kwa mashabiki wake...nitampenda daima.
 
Am sure you know the truth. Mara nyingi kama hujawahi kuangalia mechi ukaona beki ana passes nyingi, unakuwa sahihi ukija na assumption hiyo.

Ila kama umewahi kuangalia mechi zetu hizi nne utajua kuwa hilo si kweli kwa sababu kuu mbili.

1. Mara nyingi mpira unaoanzia kwa kipa huwa haupigi mbele. Huwa anawaanzishia Rudiger au Luiz.

2. Mechi hizi nne tumedominate mpira kwa zaidi ya 70%. Muda mwingi rudiger na Luiz wanakuwa katikati kabisa ya uwanja na wakati huo wanakuwa part of the attacking squad.

By the way, si lazima uponde kila kitu mkuu. Tukiwa tunahamisha mashambulizi from left to right, or one side to the other, or nyuma kwenda mbele, mara nyingi lazima mpira upitie kwa Jorginho. Sasa kwa nini uumie akiwa na passes nyingi. Hiyo nafasi msimu uliopita alikuwa Fabregas.
Asante mentor nilitaka kumjibu
 
Sarri anaongeza numbers kwenye timu za taifa. Mpaka msimu huu huishe hadi Chelsea B wataitwa pia.

1) Willian - Brazil
2) Hazard - Belgium
3) Joginho - Italy
4) Kante - France
5) Rudiger - Germany
6) Giroud - France


Hao 6 Ndiyo Wachezaji Wa Chelsea Wanaocheza Panga Pangua Timu Zinazotambulika.

Lakini Unajisifia Wachezaji Wanaocheza Timu Za Serbia, Slovenia?

Hata FXI yote ya Liverpool inacheza Timu Ya Taifa isipokuwa Milner aliyekwisha Sataafu! Lakini Je Timu Kama Egypt (Mo Salah), Senegal (Mane), Guinea (Keita), Scotland (Robertson) Ni Za Kujisifia?

Angalau Alisson (Brz), Firmino (Braz), Fabinho (Braz), Lovren (Croatia), Mignolet (Belgium), Gini (Netherland), VVD (Netherland), Gomez (Eng), Henderson (England), Lallana (England) Na TAA (Eng) inaweza Kuleta Maana.
 
1) Willian - Brazil
2) Hazard - Belgium
3) Joginho - Italy
4) Kante - France
5) Rudiger - Germany
6) Giroud - France


Hao 6 Ndiyo Wachezaji Wa Chelsea Wanaocheza Panga Pangua Timu Zinazotambulika.

Lakini Unajisifia Wachezaji Wanaocheza Timu Za Serbia, Slovenia?

Hata FXI yote ya Liverpool inacheza Timu Ya Taifa isipokuwa Milner aliyekwisha Sataafu! Lakini Je Timu Kama Egypt (Mo Salah), Senegal (Mane), Guinea (Keita), Scotland (Robertson) Ni Za Kujisifia?

Angalau Alisson (Brz), Firmino (Braz), Fabinho (Braz), Lovren (Croatia), Mignolet (Belgium), Gini (Netherland), VVD (Netherland), Gomez (Eng), Henderson (England), Lallana (England) Na TAA (Eng) inaweza Kuleta Maana.
Umemuona lini kovacic akisugugua bench au unajifurahisha tu
 
1) Willian - Brazil
2) Hazard - Belgium
3) Joginho - Italy
4) Kante - France
5) Rudiger - Germany
6) Giroud - France


Hao 6 Ndiyo Wachezaji Wa Chelsea Wanaocheza Panga Pangua Timu Zinazotambulika.

Lakini Unajisifia Wachezaji Wanaocheza Timu Za Serbia, Slovenia?

Hata FXI yote ya Liverpool inacheza Timu Ya Taifa isipokuwa Milner aliyekwisha Sataafu! Lakini Je Timu Kama Egypt (Mo Salah), Senegal (Mane), Guinea (Keita), Scotland (Robertson) Ni Za Kujisifia?

Angalau Alisson (Brz), Firmino (Braz), Fabinho (Braz), Lovren (Croatia), Mignolet (Belgium), Gini (Netherland), VVD (Netherland), Gomez (Eng), Henderson (England), Lallana (England) Na TAA (Eng) inaweza Kuleta Maana.
Sasa hivi umekuja na this excuse.

Best of three...deal or no deal??!
 
Unajua Maana Ya Hizi Stats Mabeki Wenu Wengi Kujitokeza?
Ni Kwamba Munacheza Zaidi Katika Half Yenu Na Miback Passes Kuliko Kwenye Half ya Wapinzani Wenu.
Kuna kitu hujaelewa, na naamini kwa maandishi haya hujapata kutazama hata mechi moja msimu huu. Kila wakati Ludiger na Luiz wanacheza kwenye half ya timu pinzani.
 
Unajua Maana Ya Hizi Stats Mabeki Wenu Wengi Kujitokeza?
Ni Kwamba Munacheza Zaidi Katika Half Yenu Na Miback Passes Kuliko Kwenye Half ya Wapinzani Wenu.
Back passes lakn kwenye nusu ya timu pinzani ili kuwavuta waje, naamini kama uliangalia mechi ya Huddersfield, Newcastle na Bournemouth uliliona hili
 
Kuna kitu hujaelewa, na naamini kwa maandishi haya hujapata kutazama hata mechi moja msimu huu. Kila wakati Ludiger na Luiz wanacheza kwenye half ya timu pinzani.

Then Kwanini Satas Zisioneshe Kina Kante, Kovacic, Hazard na Willian Ndiyo Wenye Passes Nyingi Kwasababu Wao Ndiyo Midfielders Wachezeshaji na Midfielders Washambuliaji?
Kwahiyo Mabeki Ndiyo Wanaocheza Mpira Kuwachezesha Mafowards Huku Midfielders Zenu Kina Kante, Hazard, Kova na Willian Wakiwa Wamerelax tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom