Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inamana Tulipowaambia Kovacic si mchezaji ndiyomana Real Wakawapa Nyinyi mulikuwa Munasubiri yawakute ndiyo muamini?

Halafu unaposema Kutengeneza nafasi zaidi unamaanisha unatazama hii Mechi PlayStation au?

Sio Mutengeneze nafasi zaidi! Bali Muanze Kutengeneza Nafasi Kwani Kwa Shot moja On Target Haimaanishi Kuwa Mumetengeneza Nafasi. Angalau Mungelikuwa na 5 on Target Hapo ingeleta maana.
We ulikua humfuatilii toka alipokua Madrid. Eti siyo mchezaji mashabiki wa looserfool bhana. Sasa alijua anafanya nn miaka yote kama mchezaji.? Uwe unatuliza akili kabla hujamjibu mtu otherwise usijibu kwa mihemko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeshaanza kujitambua, almanusura.

Kwa matobo mnayoyatengeneza msiwalilie Liverpool kabisa.

Hongereni kwa ushindi lakini.
Alonsoooooo

Alonso anatuokoa sana, hii ndio maana ya timu sio kumtegemea Foward mmoja tu kama Salah tu

Dah hila Nu casto kwenye uwanja wao hatujafua dafu kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penalty goal. Hazard
1535302845806.gif
1535302855596.gif
1535302867874.gif
 
Tuliwaambia Mapema Haya Kuwa SarriBall Ni pasi na kwenda Mbele tu Bila Ya Ushindi! Sasahivi Mushaanza Kutuelewa.
Mkuu huu mpira wa Sarri kwa ligi ya England asipobadilika atapata tabu sana kushinda.

Maana timu nyingi za England zinatumia sana kaunta taki.

Tumeshinda lakini mfumo wa Sarri sio wa kutegemea ushiñdi kwa asilimia hata 70%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alonsoooooo

Alonso anatuokoa sana, hii ndio maana ya timu sio kumtegemea Foward mmoja tu kama Salah tu

Dah hila Nu casto kwenye uwanja wao hatujafua dafu kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app

• Salah ana magoli 2
• Mane Ana Magoli 3
√ Liverpool imeshafunga Magoli 7
√ Katika 7 Salah Kafunga 2 tu
° Hayo 5 yaliyobakia Kafunga nani?

Sasa sijui Hii Post yako umekusudia Kusignify Kitu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom