Tuna viungo wazuri hatuhitaji beki wa kucheza na kusahau nyumba ikiungua. Ndio maana Conte alimweka benchi, Zama za Luiz zimeisha wanatakiwa vijana kama akina Andreas ChristensenLuiz ni ball playing CB anafit sana kwenye mfumo wa Sari ndio best CB anayefit kwenye huo mfumo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wao brighton hawaitaji timu nzuri kuifunga Manure, hiyo ndio tofauti ya nyie na waoUmekosea! Hiyo kauli Haimaanishi Kwamba Ndiyo Nishajihakikishia Kuwa Lazima Nitakufunga! Ni Kauli Ya Kukukatisha tamaa tu Kuwa Liverpool kumfunga Chelsea, Arsenal na Man City huwa haihitaji iwe na Timu nzuri, Hata Nikiwa na Wachezaji Wa Kuungaunga tu Basi ninawafunga.
Labda Manure ndiyo ili nimfunge ninahitaji Niwe na Timu nziri kwa Siku hile ya Mchezo.
Lakini wao brighton hawaitaji timu nzuri kuifunga Manure, hiyo ndio tofauti ya nyie na wao
Conte sio kocha wa Chelsea sasa,Mfumo wa Sari unahitaji CB anayecheza mpira sio wabutuaji na kwa mabeki mlio nao hakuna anayemfikia Luiz kwenye hilo.Chelsea now ina kocha mwenye mfumo tofauti ukilinganisha na Mourinho +ConteTuna viungo wazuri hatuhitaji beki wa kucheza na kusahau nyumba ikiungua. Ndio maana Conte alimweka benchi, Zama za Luiz zimeisha wanatakiwa vijana kama akina Andreas Christensen
Nani katangaza ubingwa wewe.?Hongereni Kwa Kuongoza Ligi Kwa Masaa 20.
Mwenye Ligi Kampiga Mtu '6' ambaye nyinyi muliishia Kupata 3.
Kwahiyo Tayari ameshakamata Nafasi Yake.
Tuliobakia Tuishie Kusindikiza tu.
Nyie endeleeni Kujitangazia Ubingwa Wa Kusadikika.
Nimesoma takwimu luizi anaongoza kwa kupiga passConte sio kocha wa Chelsea sasa,Mfumo wa Sari unahitaji CB anayecheza mpira sio wabutuaji na kwa mabeki mlio nao hakuna anayemfikia Luiz kwenye hilo.Chelsea now ina kocha mwenye mfumo tofauti ukilinganisha na Mourinho +Conte
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ana passi nyingi, hii sio kigezo. Pass ni position yake tu inashurutisha urudishiwe mipira mara kwa maraNimesoma takwimu luizi anaongoza kwa kupiga pass
E&K
Sasa uyo man city msimu huu atapata tabu sana kubeba kombe Mara mbili uingereza alifanya babu farge tu.Hongereni Kwa Kuongoza Ligi Kwa Masaa 20.
Mwenye Ligi Kampiga Mtu '6' ambaye nyinyi muliishia Kupata 3.
Kwahiyo Tayari ameshakamata Nafasi Yake.
Tuliobakia Tuishie Kusindikiza tu.
Nyie endeleeni Kujitangazia Ubingwa Wa Kusadikika.
Lakini eneo lake ndivyo anavyopaswa kucheza na sio kubutua tuHata kama ana passi nyingi, hii sio kigezo. Pass ni position yake tu inashurutisha urudishiwe mipira mara kwa mara
Kigezo cha ubora wa beki ni kutoruhusu mashambulizi ya hovyo. Anyway kocha anaona na anajua zaidi yetu. Na hatua atakayoichukua ya kumuacha au kumshindanisha na Andreas ni yake
Sasa uyo man city msimu huu atapata tabu sana kubeba kombe Mara mbili uingereza alifanya babu farge tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Most top 4 passes in the premier league so far:
- Chelsea - 1,337
-Man City - 1,314
-Tottenham - 1,205
-Fulham - 1,101
Sent using Jamii Forums mobile app



My friend tuna poor defence haijawahi tokea, Luiz na Rudiger hamna kitu paleee...Bora Christensen aanza na Luiz maana sio mtu wa kupanda panda mbele sanaSarri sio mtu wa kukaba ni mwendo wa kushambulia tu
Tegemea kuiona siku zote
Kwa hyo unahis yale magoli mawili ya arsenal kosa ni la mabeki au??My friend tuna poor defence haijawahi tokea, Luiz na Rudiger hamna kitu paleee...Bora Christensen aanza na Luiz maana sio mtu wa kupanda panda mbele sana
Na weakness ya chelsea co mabeki, acheni kelele sizokua na tija basi....Kwa hyo unahis yale magoli mawili ya arsenal kosa ni la mabeki au??
Sent using Jamii Forums mobile app
precisely....Kwa hyo unahis yale magoli mawili ya arsenal kosa ni la mabeki au??
Sent using Jamii Forums mobile app