Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Habari za William kuchelewa mazoezi sio Inshu kwani Harouna Niyonzima hadi leo hayuko mazoezini hajulikani aliko aisee
 
Habari za William kuchelewa mazoezi sio Inshu kwani Harouna Niyonzima hadi leo hayuko mazoezini hajulikani aliko aisee
Sasa hvi n vtuko kwakweli wote huenda wametekwa na papuch
 
maana hata. Carabao Huwa hawaonyeshHaa haa haa Alf mjinga alicheza karbia game zote
Na,hakucheza chin ya 80 mnt
Hapo ndo ujue kuna kazi yake maalumu na kwale tunaoangalia mpira kwa jicho la kitaalamu tunajua kazi ya Giroud ilikuwa nini?
 
FA Community Shield: Chelsea Vs Manchester City

Chelsea.PNG


Subs: Bulka, Christensen, Zappacosta, Drinkwater, Moses, Willian, Abraham
 
Super sport wanaonyesha Chanel ipi Huku Kwangu siipati ?
Msaada Jamani?
 
Wandugu zangu
Naombeni link nione game yenu na Man City hata dakika hizi zilizobaki pls
Isiwe ya kulipia
 
Naomba kuuliza kwa nn hazard na kipa xortour hawapo leo.ni majeruhi au
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom