Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Morata kabadili jezi number kutoka no 09 mpaka 29. Ni baada ya kupata watoto mapacha tarehe 29 July.
D. Drogba alikua anavaa 11,
D. Costa alikua anavaa 19,
Hao wote waliperform vizuri. Muangalie Torres alivaa namba 09, na sasa ni Morata 09

Ngoja tusubiri tuone kama itakua kweli japo haya ni mambo ya kufikirika tu.
 
Morata kabadili jezi number kutoka no 09 mpaka 29. Ni baada ya kupata watoto mapacha tarehe 29 July.
D. Drogba alikua anavaa 11,
D. Costa alikua anavaa 19,
Hao wote waliperform vizuri. Muangalie Torres alivaa namba 09, na sasa ni Morata 09

Ngoja tusubiri tuone kama itakua kweli japo haya ni mambo ya kufikirika tu.
Huu mwaka wake wa wachezaj wengi wamezaa
Aiseee juz tu Antoni martial nae alitoka
Kambini akaacha tim na kwenda
Kuungana na familia yake ambapo mke wake alikua amezaa
 
Huyu bado hajauzwa tu.
Amesema anabaki hauzwi
Olivier Giroud

CHELSEA wapo katika mazungumzo ya nguvu na Marseille kwa ajili ya kumuuza staa wao, Olivier Giroud kwa dau la pauni 20 milioni tu baada ya staa huyo kutokuwepo katika mipango ya kocha mpya, Maurizio Sarri.

Wababe hao wa Stamford Bridge walimnasa staa huyo Mfaransa katika dirisha la Januari akitokea Arsenal walipokuwa chini ya kocha, Antonio Conte lakini sasa wanataka kuachana naye na kutafuta mshambuliaji mpya.
Haa haa haa haa aiseee mmeamua
Kumpoteza kabsa huyu jamaa akazeekee
Huko kwao Marseille
 
Arsenal wametuuzia kichupa tukidhani madini jamaa amen'gang'ania hataki kwenda ingawa ukimkompare na baba wawili bora mandevu
Haa haa anajua akitoka EPL n kwisha habar yake
Anamuona balotel na evra wanavohaha
Sasa na yy hatak yamkute hayo

Af c naona pia hamtak baba wawili
Mandevu na hamtak c muwape hata bure ggm ya morinyo
 
Leo game saa ngap jmn af naskia
Supersport wamedinda kuonyesha hii ngarambe yenu
 
Haa haa anajua akitoka EPL n kwisha habar yake
Anamuona balotel na evra wanavohaha
Sasa na yy hatak yamkute hayo

Af c naona pia hamtak baba wawili
Mandevu na hamtak c muwape hata bure ggm ya morinyo
Hahaha baba wawili ametuhakikishia kwamba mwaka huu tutamfurahia maana amebadilisha namba ya jezi ngoja tumvumilie msimu huu
 
Morata kabadili jezi number kutoka no 09 mpaka 29. Ni baada ya kupata watoto mapacha tarehe 29 July.
D. Drogba alikua anavaa 11,
D. Costa alikua anavaa 19,
Hao wote waliperform vizuri. Muangalie Torres alivaa namba 09, na sasa ni Morata 09

Ngoja tusubiri tuone kama itakua kweli japo haya ni mambo ya kufikirika tu.
Na Falcao pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom