Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Kwani Fab alikuwa ameshapigwa sub wakati huo?Kumpa penalty morata lilikuwa kosa
Ila kwa vyovyote vile nakubali Morata si wa kumtegemea sana aisee. Dogo Odoi kampigia pasi za kutosha yeye ana miss tu.
Labda Giroud na Batshuayi watatuvusha msimu huu. La sivyo sioni striker wa nje ambaye tunaweza kumpata kwa sasa.