Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Matteo Guendouzi vs Chelsea

92 touches
83/89 passes completed (93.25%)
4 dribbles won
6 clearances
7 tackles won
5 duels won
2 aerial duels won
6 interceptions
2 shots

Jojino alikuwa anageuzwa na haka katoto kama chapati
 
Matteo Guendouzi vs Chelsea

92 touches
83/89 passes completed (93.25%)
4 dribbles won
6 clearances
7 tackles won
5 duels won
2 aerial duels won
6 interceptions
2 shots

Jojino alikuwa anageuzwa na haka katoto kama chapati
Kwa huu ushindi ulioupata. Nakuhakikishia tayari ushaingia na point tatu. Yan kabla ligi haijaanza we tumekupa point tatu tayari. Hapo vipi.? Satisfied
 
*Arsenal vs Chelsea*

Possession *61% - 39%*
Shots on goal *3 - 5*
Saves *4 - 3*
Corner kicks *5 - 6*
Offsides *0 - 6*
Fouls *4 - 9*
Red cards *0 - 0*



*SarriBall*??????
 
*Arsenal vs Chelsea*

Possession *61% - 39%*
Shots on goal *3 - 5*
Saves *4 - 3*
Corner kicks *5 - 6*
Offsides *0 - 6*
Fouls *4 - 9*
Red cards *0 - 0*



*SarriBall*??????
Hivi hioni kama hizi statistics zinakuumbua mwenyewe. Au kwa kuwa umeona posession ni kubwa kwako.

Mashabiki wa arsenal bhana.
 
Real ishu sio pesa ila walisema chairperson wa Spurs ni sturbon, hataki hata kukaa mezani kujadili.


Needhani Kabla ya Kuangalia The Sun wanasema Nini basi ungeangalia Uhalisia.

Ushawishi Wa Real na Barcelona hauanzi Kwa Chairman, Bali Wanaanza Kwa Mchezaji Mwenyewe Baadae Mchezaji Ndiyo Anapeleka Transfer Request.

Lakini Kutokana na Soko la Wachezaji Lilivyo Kwa Sesa! Hii Tabia ya Real na Barcelona Kutuonea Kwa Timu za Kiengereza basi inaendea Kuisha na Hawataweza tena Kuja Kuvunja Timu zetu Kwa Kuwachukua Wachezaji Nyota.
Watakachofanya Kwa Sasa Ni Kusubiri Mchezaji Amalize Mkataba ili wampate bure kama Wanavyovizia Kwa Hazard.

Kwasasa Real inahitaji Kuwareplace Wachezaji 3 ambao Ni Ronaldo, Benzema na Bale...

Na interest yao ilikuwa Neymar, Salah, Hazard na Harry Kane..

Makadirio ya Bei Zao inakisiwa Ni:

1) Neymar £300m
2) Kane £200m
3) Salah £200m
4) Hazard £150m

Sasa Kuwanunu Wachezaji Hao unasema pesa sio issue?

Hapo na utajiri alionao baso Hawezi Kununua Wachezaji Wawili Kwa pamoja Hata iweje... Pia FFP itamsubiri...

Na Ndiyo mana Wamesamehe Kwa Neymar, Kwa Salah na Kwa Kane, Wanamshawishi Hazard na Curtois wasiongeze Mikataba ili Kuwapata Kwa bei ya Chini au Wawapate bure.
 
#pic of the day...
IMG_20180802_083355.jpg
 
Kwa kikosi hiki tulichonacho wana Chelsea tutarajie makubwa msimu ujao kutoka kwa kocha wetu misigara
Man Utd ni wake zetu awatuwezi watasubili sana tu labda babu arudi
Nasema hivi mtapata taabu sana.
FB_IMG_1533192738130.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom