Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa striker...kama Morata akicheza hivi alivyocheza game ya Milan...basi yeye na Giroud wanatosha kwa msimu huu. Sijui kama Batshuayi atauzwa ama la...ila na yeye akijitahidi atachukua mikoba ya Giroud msimu ujao. Sidhani kama Tammy Abraham atatoboa kwenye timu hasa msimu huu. Alikuwa afadhali zaidi yule Traore kuliko Tammy (kwa mtazamo wangu).
Dogo Tammy anajitahid sana. Inabidi apate nafasi ya kutosha.
 
Defence tuna mabeki wa kutosha ninaamini..ni motisha tu kwa wachezaji...kw Europa na ligi za ndani..sidhani kama msimu huu tunahitaji kufanya usajili mkubwa sana. Msimu ujao ni wa muhimu sana maana mikataba ya wengi inakata na wengi wao ni ambao umri umesonga kina Cahill, Luiz, Pedro, Giroud nk nk...msimu ujao ni critical sana kufuatilia usajili tutakaofanya.

Msimu huu ni kocha tu kucheza na wachezaji waliopo...ushindi upo kwetu. #letshaveFun
Bado striker tunahitaji mtu kama Lewandowski, Costa au Icardi. Hawa waliopo hawapeani presha.
 
Kati ya Hawa Jorginho, Ross Barkley, Bakayoko, Fabregas, Kante ni Kwamba!

Kwa Mfumo Wa 4-3-3 atakapocheza Joginho na Kante basi Technically Bakayoko haitowezekana Kucheza, Ni Lazima wacheze na Fabi au Bark.

Yani Jogi-Kante-Fabi
Au Jogi-Kante-Bark

Bakayoko Atacheza pale Mmoja wapo Kati ya Kante au Joginho atakapokuwa Yupo Benchi.

Yani Baka-Kante-Fabi/Bark
Au Baka-Jogi-Fabi/Bark

Mbele ya Hao Watatu Patakuwa na Willian-Giroud-Hazard.
Kwahiyo Mfumo Huo utamlazimisha Kocha aingie Sokoni atafute Central Attacking Midfielder Kwani Fabi au Bark kutokana na Pace Yao Ya Ushambuliaji Wataupoza Huo Mfumo Cuz Anayesimama Hapo Katika Hao Watatu anakuwa ni Namba 10 ambaye anakaa Centre na Kushambulia golini, ni Lazima awe na Pace Kama alivyokuwa Coutinho.

Iwe Jogi-Kante-New CAM
Umenena vyema kabisa.
 
Bado striker tunahitaji mtu kama Lewandowski, Costa au Icardi. Hawa waliopo hawapeani presha.

Lewando Kwa Sasa inaonesha Wazi Atastaafia Bayern...

Ukitoa Lewando Striker ambaye Ni Traditional Namba 9 na World Class Ni Harry Kane...

Kwasasahivi Timu inayoweza Kumnunua Harry Kane labda Ni PSG peke Yake...

Manake Hata Real hujifanya Kumfatilia lakini Wanashindwa Kuingia Sokoni kwa Bei Yake...

Nadhani Kwa Soko la Sasa Bei Yake Ni £200m...

So, kwa sasa Timu inunue Striker ambaye Ni Average lakini Talented ili imboreshe awe World Class.. Venginevyo itabidi timu ivunje Benki imnunue Harry Kane.
 
Lewando Kwa Sasa inaonesha Wazi Atastaafia Bayern...

Ukitoa Lewando Striker ambaye Ni Traditional Namba 9 na World Class Ni Harry Kane...

Kwasasahivi Timu inayoweza Kumnunua Harry Kane labda Ni PSG peke Yake...

Manake Hata Real hujifanya Kumfatilia lakini Wanashindwa Kuingia Sokoni kwa Bei Yake...

Nadhani Kwa Soko la Sasa Bei Yake Ni £200m...

So, kwa sasa Timu inunue Striker ambaye Ni Average lakini Talented ili imboreshe awe World Class.. Venginevyo itabidi timu ivunje Benki imnunue Harry Kane.
Real ishu sio pesa ila walisema chairperson wa Spurs ni sturbon, hataki hata kukaa mezani kujadili.
 
Lewando Kwa Sasa inaonesha Wazi Atastaafia Bayern...

Ukitoa Lewando Striker ambaye Ni Traditional Namba 9 na World Class Ni Harry Kane...

Kwasasahivi Timu inayoweza Kumnunua Harry Kane labda Ni PSG peke Yake...

Manake Hata Real hujifanya Kumfatilia lakini Wanashindwa Kuingia Sokoni kwa Bei Yake...

Nadhani Kwa Soko la Sasa Bei Yake Ni £200m...

So, kwa sasa Timu inunue Striker ambaye Ni Average lakini Talented ili imboreshe awe World Class.. Venginevyo itabidi timu ivunje Benki imnunue Harry Kane.
Kweli kabisa. Mtu tuliekuwa na nafasi ya kumleta ni Gonzalo H. Sasa naye ndio anaenda Milan, na mechi za majaribio hizi zimeonyesha kabisa udhaifu katika ufungaji.
 
Nunua forwad, usitegemee kuvuka boda kwa fowad morata au jirud,

Kipa cabayero, omba Mungu courtous Abaki lasivyo, nafas ya 10 inakuhusu
Wewe kwa foward wako ulichukua kombe gani.? Unajikuta unajua kushona na wakati mi ndio tailor mwenyewe. Shut up!!
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom