Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usimlaumu yule mama tangu zamani roma anamwamini sana wametoka mbali kwenye visima vya mafuta yeye ndiye alikuwa msimamizi wake wakuaminiwa na bwana mkubwa katika matumizi ya fedha ndipo akamua hadi kumleta darajani haujui mpira ila anajuwa kubana matumizi ya fedha hicho ndicho mpaka leo hata roma mkuu huyo wa body alaumiwe vipi anaziba masikio kutokana wametoka mbali
Huwezi kutuletea sababu kama hiyo ya kutuaminisha suala la kutoka mbali na kubana matumizi, alafu Bosi wako anamtaka kocha kama Guardiola.....haiwezekani mkuu
 
Hilo la Matic hata kocha alilizungumzia, hausika ktk kumuuchia.
Suala la Costa ni nidhamu, na kocha yeyote lazima asimamie nidhamu kwa wachezaji wake.
Sasa how unailaumu bodi while kocha ndio anataka nidhamu akamfukuza mchezaji bora akamtaka Morata akaletewa ?
 
Mi huwa najiuliza why chelsea ikifanya vizuri msimu mmoja unaofuata lazima waboronge chanzo ni nini wakuu
Kocha au tutimue wachezaji wote au nini hasa kinasababisha hali hii kwa chelsea
 
Nafikiri tununue mastaa wa ukweli hasa washambuliaji mabeki wa maana winga tunazo za kumwaga
Ni muda wa kutumia pesa sasa aache ubahili sasa bwana roman
 
Nafikiri tununue mastaa wa ukweli hasa washambuliaji mabeki wa maana winga tunazo za kumwaga
Ni muda wa kutumia pesa sasa aache ubahili sasa bwana roman

Kupata mchezaji wa maana kuja kucheza Yuropa ni ngumu sana la sivyo inabidi alipwe mshahara mnono sana kama Ozil kwa Arsenal
 
Nafikiri tununue mastaa wa ukweli hasa washambuliaji mabeki wa maana winga tunazo za kumwaga
Ni muda wa kutumia pesa sasa aache ubahili sasa bwana roman


Arsenal Baada Ya Kuchukuwa Ubingwa Mwaka 2004, Ujenzi Wa Uwanja Mpya Wa Emirates Ndiyo Uliyoifikisha Arsenal Pale ilipo.


Sasa Subiri Kwanza Uwanja Wenu Mpya Kwanza Umalizike Ndiyo Huo Usajili Wa Kutumia Pesa Ufanyike.

Kwasasahivi Roma ana project Kubwa Sana Ya £1B Ya Ujenzi Wa Uanja Mpya, Sasa Ni Vigumu Kummwagia Conte £300m Kwa Ajili Ya Usajili Wa Wachezaji Wa Maana Kwani Wachezaji Wa Ushindani Kwa Soko la Sasa Wanaanza na £80m.
 
Arsenal Baada Ya Kuchukuwa Ubingwa Mwaka 2004, Ujenzi Wa Uwanja Mpya Wa Emirates Ndiyo Uliyoifikisha Arsenal Pale ilipo.


Sasa Subiri Kwanza Uwanja Wenu Mpya Kwanza Umalizike Ndiyo Huo Usajili Wa Kutumia Pesa Ufanyike.

Kwasasahivi Roma ana project Kubwa Sana Ya £1B Ya Ujenzi Wa Uanja Mpya, Sasa Ni Vigumu Kummwagia Conte £300m Kwa Ajili Ya Usajili Wa Wachezaji Wa Maana Kwani Wachezaji Wa Ushindani Kwa Soko la Sasa Wanaanza na £80m.
Tangu Conte aje amenunua wachezaji wafuatao

Kante-£ 30m
Luiz-34m
Mitchy-33m
Alonso -24
Rudiger-29m
Zapacosta-27m
Bakayoko-40m
Morata-60m
Barkley-15m
Drinkwater-35m
Giroud-15m
Total =332m

Tangu Conte amekuja England only Pep ndio ametumia hela nyingi kwenye usajili kuliko Conte

Ameshatumia hela nyingi kwenye usajili kuliko Mourinho,Wenger,Klopp,Pochetino
 
Chelsea v Southampton: Courtois; Azpilicueta, Christensen, Cahill (c); Zappacosta, Kante, Fabregas, Alonso; Willian, Morata, Hazard

Capture.PNG


Substitutes v Southampton: Caballero, Moses, Emerson, Bakayoko, Barkley, Pedro, Giroud
 
Kwani mwakani Chelsea itakuwa hii hii?. Wako wengi wataondoka, usajili mpya utafanyika. Kocha mpya, timu mpya na ligi mpya ndivyo itakavyokuwa mwakani
Usajili ukiwa mzuri sawa. Tuna watu wengi ambao si useful,; Drinkwater, Barkley, Emerson, Moses, Bakayoko...

Drinkwater, Moses, Giroud, Fabrigas na Drinkwater wauzwe, Bakayoko, Emerson, Barkley waende kwenye mkopo. Asainiwe striker world class, midfield mwenye kariba ya Matic, centerback, RWB na LWB hapa angalau japo tutapata changamoto ya muunganiko wa timu(chemistry) maana Liverpool tayari wana muunganiko, Man city tayari, Arsenal tayari muunganiko umeanza kuonuesha matunda na hata Man U wanaanza kuelewana.
 
Haya ndiyo matatizo ya Baadhi Ya Watu Kuanza Kuipenda Timu Kwa Kuona imechukua Kombe!
Timu inapokuwa Katika Wakati Mgumu Wote Huikimbia.

Leo hii mumebaki Nyie Wawili tu Kwenye Uzi.

Hongereni Angalau Kwa Kuonesha Kutokata Tamaa Katika Kipindi hichi Kigumu.
Timu bado tuko nayo, majukumu yametufanya hatuonekani. Chelsea ni timu kubwa kila inapotia nyakati kama hizi huwa inajireform na kujiform upya. Hivyo huwezi kuiacha timu kwa sababu ya kutofanya vizuri.
 
Bodi haikuwaondoa Costa na Matic,bodi haikumwambia Conte agombane Luiz
Matic kauzwa na bodi. Luiz alipata injury na hata baada ya mgogoro alicheza mechi mbili. From there ameugua goti, sasa unatakaje hapo? Costa tu ndo kafukuzwa na Conte. Alafu alikuwa anajiona mkubwa kuliko timu. Mpaka siku nyingine abembelezwe ndo acheze, kesho atakwambia anataka kwenda China na utovu wa nidhamu kibao. Kama kocha alipaswa kumdeal hata kama hatua aliyochukua haikuwa nzuri.

Makocha bora wote wanadeal na nidhamu ya wachezaji. Kosa la Chelsea na si Conte peke yake ni kukosea kufanya replacement ya Matic na Costa.
 
Tatizo kubwa la Chelsea msimu huu ni kufunga magoli,tuliwaambia ni kosa kubwa sana kumfukuza Costa mkasema Morata ni bora zaidi ataziba pengo

Conte alimtaka Morata bodi hiyo hiyo ikamletea
Choice ya Conte ilikuwa Lukaku, baada ya deal kufail ndo timu ikahamia kwa Morata
 
Matic kauzwa na bodi. Luiz alipata injury na hata baada ya mgogoro alicheza mechi mbili. From there ameugua goti, sasa unatakaje hapo? Costa tu ndo kafukuzwa na Conte. Alafu alikuwa anajiona mkubwa kuliko timu. Mpaka siku nyingine abembelezwe ndo acheze, kesho atakwambia anataka kwenda China na utovu wa nidhamu kibao. Kama kocha alipaswa kumdeal hata kama hatua aliyochukua haikuwa nzuri.

Makocha bora wote wanadeal na nidhamu ya wachezaji. Kosa la Chelsea na si Conte peke yake ni kukosea kufanya replacement ya Matic na Costa.
Haya klopp huwa havumilii ujinga refer..Sakho vs klopp..nidhamu ni kitu cha muhimu uwanjani
 
Mi huwa najiuliza why chelsea ikifanya vizuri msimu mmoja unaofuata lazima waboronge chanzo ni nini wakuu
Kocha au tutimue wachezaji wote au nini hasa kinasababisha hali hii kwa chelsea
Kwa msomu uliopita Matic na Costa walikuwa nguzo ya muhimu katika ushindi wetu.
Pedro, Cahili, Luiz, Moses, na hata Hazard wameshuka viwango vyao tofauti na mwaka jana. Na hata Willian amefanya vizuri katika mechi hizi chache za Mwisho.

Kwa hiyo kosa kubwa la Chelsea lilikuwa kumuuza Matic na kushindwa kufanya replacement Nzuri ya D. Costa.

Kwa anayengalia vizuri anaweza kuona kuwa katikati Chelsea inavuja na kwa karibuni Christensen anafanya makosa yenye kutugharimu.

Let's hope kwamba bodi, na technical benchi watalifanyia kazi
 
Arsenal Baada Ya Kuchukuwa Ubingwa Mwaka 2004, Ujenzi Wa Uwanja Mpya Wa Emirates Ndiyo Uliyoifikisha Arsenal Pale ilipo.


Sasa Subiri Kwanza Uwanja Wenu Mpya Kwanza Umalizike Ndiyo Huo Usajili Wa Kutumia Pesa Ufanyike.

Kwasasahivi Roma ana project Kubwa Sana Ya £1B Ya Ujenzi Wa Uanja Mpya, Sasa Ni Vigumu Kummwagia Conte £300m Kwa Ajili Ya Usajili Wa Wachezaji Wa Maana Kwani Wachezaji Wa Ushindani Kwa Soko la Sasa Wanaanza na £80m.
Tatizo si pesa wala uwanja. Angalia usijiri wa mwaka Jana.
Morata -£56M
Bakayoko -£40M
Ludiger- £30M
Zapacosta - £22M
Drinkwater- £18M
Barkley- £15M
Emerson-£17.6M
Giroud -£18M
Jumla ni £ 233,000,000

Hivi EPL nani katumia kiasi hicho cha pesa kwa msimu huu kwenye usajili?

Ni Man City pakee ndo katumia pesa nyingi kusajili kuliko Chelsea. Kwa Ulaya nzima ni Man City, PSG na AC Milan tu ndo walitumia kiasi kikubwa kuliko Chelsea.

Sasa hapo shida ya pesa iko wapi?
 
Haya klopp huwa havumilii ujinga refer..Sakho vs klopp..nidhamu ni kitu cha muhimu uwanjani
Haswaa, na hata Ferguson alikuwa hivyo, Wenger, Mourinho, na Guadiola wako hivyo. Tena hawa niliowataja ni strict kuliko hata Conte
 
Oyaaa inabd Leo tuue uyu soton tuingie big4 nani kasema Europa inatuhusu
This is chesi bana tunagawa dozi akuna cha MATIC wala Costa
Game zijazo zote tunaua wa2 alafu manure na toti watapoteza alafu tunaingia big4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom