Matic kauzwa na bodi. Luiz alipata injury na hata baada ya mgogoro alicheza mechi mbili. From there ameugua goti, sasa unatakaje hapo? Costa tu ndo kafukuzwa na Conte. Alafu alikuwa anajiona mkubwa kuliko timu. Mpaka siku nyingine abembelezwe ndo acheze, kesho atakwambia anataka kwenda China na utovu wa nidhamu kibao. Kama kocha alipaswa kumdeal hata kama hatua aliyochukua haikuwa nzuri.
Makocha bora wote wanadeal na nidhamu ya wachezaji. Kosa la Chelsea na si Conte peke yake ni kukosea kufanya replacement ya Matic na Costa.