Kabla ya mourinho mlikaa muda gan? Au unajifarijUzuri wa Chelsea wakivurunda mwaka huu mwakani kombe ni wazi, nyie wengine wasindikizaji tu mpaka dunia iangamie
Mkuu tupo mbona ...Haya ndiyo matatizo ya Baadhi Ya Watu Kuanza Kuipenda Timu Kwa Kuona imechukua Kombe!
Timu inapokuwa Katika Wakati Mgumu Wote Huikimbia.
Leo hii mumebaki Nyie Wawili tu Kwenye Uzi.
Hongereni Angalau Kwa Kuonesha Kutokata Tamaa Katika Kipindi hichi Kigumu.



29 Dec 2017
Chelsea = 51 points
08 April 2018
Chelsea = 57 points
6 points in 3 months![]()
Tuweke akiba, itafaa baadayeMajogoo yanaenda kesho Etihad kuwika!Liverpool haimuogopi yyt UCL na hata hapa mnajua!
Nani sasa hapa hajaogopi Majogoo ya Anfield?
Tatizo bodi mkuuDah huu msimu round ya 2 ndo imeharibu kila kitu toka Dec 29 tuna point 51 leo April 11 point 57 kweli tunawakati mgumu
Mwaka kesho tutakuwa Europa maana top four tumeisha ikosa najiuliza sana tatizo msimu ubovu wetu n board, kocha au wachezaji ndo chanzo cha kuvurunda hivi?
Usimlaumu yule mama tangu zamani roma anamwamini sana wametoka mbali kwenye visima vya mafuta yeye ndiye alikuwa msimamizi wake wakuaminiwa na bwana mkubwa katika matumizi ya fedha ndipo akamua hadi kumleta darajani haujui mpira ila anajuwa kubana matumizi ya fedha hicho ndicho mpaka leo hata roma mkuu huyo wa body alaumiwe vipi anaziba masikio kutokana wametoka mbaliTatizo bodi mkuu
Bodi haikuwaondoa Costa na Matic,bodi haikumwambia Conte agombane LuizTatizo bodi mkuu
Conte alipo omba fedha za kusajili walimunyima na mkuletea watu wa kwao kama giroud alikuwa chaguo lake bali la body kwa sababu ya mama mmoja mkuda kwenye maswala ya fedha body haikumpa ushirikiano wa kutosha kocha pia swala luiz ni kama mchezaji anajiona yuko juu yako utamvumilia despline ni muhimu kila mahaliBodi haikuwaondoa Costa na Matic,bodi haikumwambia Conte agombane Luiz
Tatizo kubwa la Chelsea msimu huu ni kufunga magoli,tuliwaambia ni kosa kubwa sana kumfukuza Costa mkasema Morata ni bora zaidi ataziba pengoConte alipo omba fedha za kusajili walimunyima na mkuletea watu wa kwao kama giroud alikuwa chaguo lake bali la body kwa sababu ya mama mmoja mkuda kwenye maswala ya fedha body haikumpa ushirikiano wa kutosha kocha pia swala luiz ni kama mchezaji anajiona yuko juu yako utamvumilia despline ni muhimu kila mahali
Hilo la Matic hata kocha alilizungumzia, hausika ktk kumuuchia.Bodi haikuwaondoa Costa na Matic,bodi haikumwambia Conte agombane Luiz