Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Good Giroud. lakini wachezaji wa Chelsea hawatafuti goli. They are frustrated.
 
Conte alichukua ubingwa na foundation aliyoijenga Mourinho na walikuwa hawana michuano ya ulaya ukilinganisha na competitor wenzake


Chelsea Kaiyanzisha Mourinho Mwaka 2004 na Kaamua Kuiyua Mourinho Mwaka 2018.

Kaiyuwa Kwa Kumchukua Matic na Kuwanyima Fursa ya Kumsajili Lukaku, Na Anamvizia Willian.

Kwa Amani Kabisa Tunataka Kurudishiwa Chelsea Yetu Ya 2003 na below.
 
Chelsea Kaiyanzisha Mourinho Mwaka 2004 na Kaamua Kuiyua Mourinho Mwaka 2018.

Kaiyuwa Kwa Kumchukua Matic na Kuwanyima Fursa ya Kumsajili Lukaku, Na Anamvizia Willian.

Kwa Amani Kabisa Tunataka Kurudishiwa Chelsea Yetu Ya 2003 na below.

wakati mkiirudisha liva yenu ya zilipendwa
 
Soton Washakinukisha Hapa Mtaani Nimejikuta Natokea Mlango Wa Nyuma Hapa Kibanda Umiza Baada Ya Mdedea Wa Mashabiki Wa Chelsea 😀😀😀
 
At least Mumemtoroka Arsenal Katika Nafasi Ya Tano!
Hata Hivyo Nyote Watano na Wasita Mutacheza Europa Kuanzia Next Season.
Kwahiyo Top Six wote Watacheza Michuano Ya Ulaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom