Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilishangaa Sana Kuona Chelsea Kafungwa Darajani Kumbe ilikuwa Ni April Fool!!!!
 
Fukuza kocha sisi hatujazoea haya maisha
Utafukuza makocha wangapi? Maana kila baada ya msimu moja tunafukuza kocha. Nadhami na bodi ya Chelsea nayo ijitazame kuna walakini katika suala zima la kuiendesha timu. Itafika wakati hata makocha watakuwa wanakataa kuj Chelsea fc si kwa sababu hakuna mshahara mzuri lakini kutokana na sera za mwenye timu/bodi ya timu hivyo kupelekea kuharibu cv ya kila kocha ajae. Its too much now
Hata timu kama Manchester clubs, Liverpool, Tottenham wamekuwa na subira na makocha wao na bodi kutoa full sapport katika nyakati zote nzuri na mbaya. Lakini kwa Chelsea fc timu ikianza kuboronga tu presha inapelekwa kwa kocha kuanzia vyombo vya habari kuwa kocha hamalizi msimu, bodi inajitenga, wachezaji baadhi ndo hivyo tena, shit
 
Hii sasa haina mashaka. Kwamba mnakwenda huku
1522681888448.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom