Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,123
Hauna kilio, msiba wa kujitakia
Duh ,basi hii hatari,naskia Kane hakuwepo?Kapigwa 3-1
Kaingia dakika za mwishoDuh ,basi hii hatari,naskia Kane hakuwepo?
Nimefurahia droo ya Liverpool vs Man City. Hii inaweza kuwa na advantage kwetu Chelsea.
Tar 31/3 Palace atakuwa nyumbani kumenyana na Liverpool. Lakini pia tar 3/4 Liverpool atakuwa na mechi kubwa dhidi ya Palace.
Hii ina maana gani?
Ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mkubwa Salah, Van Djik na keyplayer mwingine wakapumzishwa dhidi ya mechi ya Palace kwa ajili ya kukabili miamba isiyotikisika, Man City . Amini usiamini Liver ina first eleven nzuri ila nje ya hapo haina substitute. Hivyo kama watawapumzisha hao wachezaji itakuwa vigumu kuishinda Palace uwanja wao wa nyumbani. So matokeo ya Liver si zaidi ya droo kwenye hiyo mechi. Kama Liver ikidroo ina maana watakuwa wakitutangulia kwa point mbili tu na mkumbuke tuna mechi nao mwezi wa tano na watakuja Stanford bridge.
Chelsea ina kazi moja tu! Kushinda kila mechi iliyobaki. Otherwise tutakwenda kucheza yale mashindano ya Alhamisi maarufu kama Futuhi.
But let's be positive because there is a promising future for Chelsea.
Nimefurahia droo ya Liverpool vs Man City. Hii inaweza kuwa na advantage kwetu Chelsea.
Tar 31/3 Palace atakuwa nyumbani kumenyana na Liverpool. Lakini pia tar 3/4 Liverpool atakuwa na mechi kubwa dhidi ya Palace.
Hii ina maana gani?
Ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mkubwa Salah, Van Djik na keyplayer mwingine wakapumzishwa dhidi ya mechi ya Palace kwa ajili ya kukabili miamba isiyotikisika, Man City . Amini usiamini Liver ina first eleven nzuri ila nje ya hapo haina substitute. Hivyo kama watawapumzisha hao wachezaji itakuwa vigumu kuishinda Palace uwanja wao wa nyumbani. So matokeo ya Liver si zaidi ya droo kwenye hiyo mechi. Kama Liver ikidroo ina maana watakuwa wakitutangulia kwa point mbili tu na mkumbuke tuna mechi nao mwezi wa tano na watakuja Stanford bridge.
Chelsea ina kazi moja tu! Kushinda kila mechi iliyobaki. Otherwise tutakwenda kucheza yale mashindano ya Alhamisi maarufu kama Futuhi.
But let's be positive because there is a promising future for Chelsea.
Bado Liverpool hawana consistency... kwa hiyo hawawezi kutisha sana.
Imeisha umeimaliza ww....Basi tena ligi ishaisha,bingwa kishafahamika na top 4 ishakamilika,labda mpambano mkali upo kwa wanaoushuka daraja.
Fukuza kocha sisi hatujazoea haya maisha
Sasa hapo unategemea Chelsea ataingia 4 bora,kuwa mkweli tu ndugu yangu subiria msimu ujao,ligi kwa upande wa top 4 ishaisha,komaa na Arsenal pamoja na Burnley upate japo nafasi ya kushiriki EUROPA.Imeisha umeimaliza ww....
Sasa hapo unategemea Chelsea ataingia 4 bora,kuwa mkweli tu ndugu yangu subiria msimu ujao,ligi kwa upande wa top 4 ishaisha,komaa na Arsenal pamoja na Burnley upate japo nafasi ya kushiriki EUROPA.
ArsenalKayazoea nan kwan...
Arsenal