Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tena nyie ndio wazoefu. Mnapigwa kama kenge vile.
Wewe nilishakwambia utapigwa mech zote kubwa ulibisha sana sale ya barcelona uliona umepona ugonjwa wako aisee
Miaka ya karibun chelsea akitoka kuchukua ubingwa huwa mdebwedo sijui kwa nini mnatumia nguvu kubwa au conte mkimfukuza ni kumuonea tu
 
Wakizubaa watacheza mtoano wa europa kugombea nafasi na burnley mana arsenal kawasha moto atawapora ile nafas maisha yanaenda kasi mno kupigwa kepu nyumban sio jambo la mzaha mshakuwa gari la mkaa.
mkuu za masiku....
 
Wewe nilishakwambia utapigwa mech zote kubwa ulibisha sana sale ya barcelona uliona umepona ugonjwa wako aisee
Miaka ya karibun chelsea akitoka kuchukua ubingwa huwa mdebwedo sijui kwa nini mnatumia nguvu kubwa au conte mkimfukuza ni kumuonea tu
Teh ukiacha Man City ambae kanipiga nje ndani na Liverpool ambaye bado sijacheza nae. Niambie ni timu gani imenipiga nje ndani.? Tot nilimpiga kwake kaja kunipiga kwangu. We nilikugonga. Shut up!!
 
Teh ukiacha Man City ambae kanipiga nje ndani na Liverpool ambaye bado sijacheza nae. Niambie ni timu gani imenipiga nje ndani.? Tot nilimpiga kwake kaja kunipiga kwangu. We nilikugonga. Shut up!!
Nilikuambia naanza kukukaza mm huko uendako ni mwende wa kuliwa tu ulibisha ya kwapi? Vichapo tu na bado
 
Navyoijua Chelsea msimu kesho tunachukua ligi coz hatuna presha Na uefa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom