Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hta tukitoka nimependa mpira wa leo..hatuchez kioga,,jiludi ndio anazingua
 
IMG_1521059809.427475.jpg
 
Wakuu msijali hii game tunashinda,ngoja Musiba na Dr shika waingie.
 
Yaani naona ukubwa wa Uwanja, wachezaji wa Chelsea wanashindwa kabisa kabisa kumkaba Messi kama walivyofanya Darajani
 
Mkuu kama msimu huu mzima hujaona kazi ya Fab basi. Fab ndo anafanya timu ihold mpira, na mara nyingi huwa anatulia na mpira na kutoa nafasi kwa washambuliaji wetu kujipanga. Udhaifu wake ni kwamba anapoza mpira ila siku akikosa ndo utaona kazi yake
Mechi tunayocheza leo haihitaji tufunguke. Tunahitajika kukaba muda wote. Fab hawezi hii mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom