Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpira ni mchezo wa makosa na kosa unalolifanya mwenzio ndio anakuadhibu hapo hapo, Mess jana alikua bora sana.. 2 goals + One assist katika ushindi wa 3-0 alafu unauliza Mess kafanya nini kweli?

Kipa kafanya vibaya jana unasema afukuzwe game ya kwanza Christencen alifanya makosa nae kuna watu walisema apigwe bench, Game na City walisema kocha kazingua apigwe chini, sasa tutabaki na nani katika timu?

Kuna makosa ya team ikifanya then mna adhibiwa lkn sio kwa magoli yale ya jana!Yale mabao hata yy kipa kakubali kama kawa let down wenzake!
Kipa kwenye angle anatanua miguu?Tena mara mbili?
Bao la Dembele kaenda kama amateur,mpira kaufikia lkn hajakaza mikono!
Hakukuwa na kosa la team kwenye yale mabao ni kosa la kipa!
Yy na kipa wetu Mignolet hamna wa afadhali kwa mechi ya jana
 
Kweli mkuu kipa kachomesha sana jana yani hasa lile goli la kwanza dah.....mtu yupo ktk engo kabisa yeye anachanua miguu,chelsea ilicheza vizuri sana ila kipa miyeyusho.....nimekereka sana jana
Mkuu hii comment yako si ya kimpira kabsa
 
Kafanya nn Messi?
Messi kaokota tu bao zote mbili kwa upuuzi wa kipa wa Chelsea!
Chelsea walipambana sana hasa katikati lkn kipa kawaangusha sana mabao yote matatu
Chelsea ni team nzuri sana,fukuza kipa huyu mwenye ego jenga team
Mkuu hujui alilo lifanya messii..?
 
Acha mambo yako wewe yaani huyu bwege anakaa nyuma sana kwa yule kipa wa spurs,yaani 3 bora ni

1.de gea

2.hugo

3.ederson


Mkuu Mimi List Yangu Kwa Ubora Kwenye [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Ni hii!:

1) David De Gea

2) Thibaut Courtois

3) Hugo Lloris

4) Ederson Moraes
 
Mkuu Mimi List Yangu Kwa Ubora Kwenye [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Ni hii!:

1) David De Gea

2) Thibaut Courtois

3) Hugo Lloris

4) Ederson Moraes
Unamshushia heshima hugo mkuu huyo jamaa wa chelsick hampati hata kwa dawa
 
'We are talking about an extraordinary player, the best in the world. I think we are talking about the player that can move the final result for every team that he's playing for. This type of player, (there is) one player born in 50 years.'conte on messi
 
Tetesi
Chelsea ina hamu ya kumsajili beki wa Juventus na Ghana Kwadwo Asamoah ,29, kwa uhamisho wa bure wakati kandarasi yake itakapokamilika mwisho wa msimu huu (Sun)
 
Tetesi
Chelsea ina hamu ya kumsajili beki wa Juventus na Ghana Kwadwo Asamoah ,29, kwa uhamisho wa bure wakati kandarasi yake itakapokamilika mwisho wa msimu huu (Sun)
İna hamu??????!!!!!!
 
IMG-20180316-WA0000.jpg


Nimeiokota mahali,sio mbaya nikiifikisha humu ndani..!
 
Chelsea wamecheza vizuri sana ila huyu kipa aondoke tu naona kashaichoka Stanford Bridge.
Hawa wabelgiji wawili waondoke tu Chelsea, akili yao iko Real Madrid
 
Nimefurahia droo ya Liverpool vs Man City. Hii inaweza kuwa na advantage kwetu Chelsea.

Tar 31/3 Palace atakuwa nyumbani kumenyana na Liverpool. Lakini pia tar 3/4 Liverpool atakuwa na mechi kubwa dhidi ya Palace.

Hii ina maana gani?
Ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mkubwa Salah, Van Djik na keyplayer mwingine wakapumzishwa dhidi ya mechi ya Palace kwa ajili ya kukabili miamba isiyotikisika, Man City . Amini usiamini Liver ina first eleven nzuri ila nje ya hapo haina substitute. Hivyo kama watawapumzisha hao wachezaji itakuwa vigumu kuishinda Palace uwanja wao wa nyumbani. So matokeo ya Liver si zaidi ya droo kwenye hiyo mechi. Kama Liver ikidroo ina maana watakuwa wakitutangulia kwa point mbili tu na mkumbuke tuna mechi nao mwezi wa tano na watakuja Stanford bridge.

Chelsea ina kazi moja tu! Kushinda kila mechi iliyobaki. Otherwise tutakwenda kucheza yale mashindano ya Alhamisi maarufu kama Futuhi.

But let's be positive because there is a promising future for Chelsea.
 
Nimefurahia droo ya Liverpool vs Man City. Hii inaweza kuwa na advantage kwetu Chelsea.

Tar 31/3 Palace atakuwa nyumbani kumenyana na Liverpool. Lakini pia tar 3/4 Liverpool atakuwa na mechi kubwa dhidi ya Palace.

Hii ina maana gani?
Ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mkubwa Salah, Van Djik na keyplayer mwingine wakapumzishwa dhidi ya mechi ya Palace kwa ajili ya kukabili miamba isiyotikisika, Man City . Amini usiamini Liver ina first eleven nzuri ila nje ya hapo haina substitute. Hivyo kama watawapumzisha hao wachezaji itakuwa vigumu kuishinda Palace uwanja wao wa nyumbani. So matokeo ya Liver si zaidi ya droo kwenye hiyo mechi. Kama Liver ikidroo ina maana watakuwa wakitutangulia kwa point mbili tu na mkumbuke tuna mechi nao mwezi wa tano na watakuja Stanford bridge.

Chelsea ina kazi moja tu! Kushinda kila mechi iliyobaki. Otherwise tutakwenda kucheza yale mashindano ya Alhamisi maarufu kama Futuhi.

But let's be positive because there is a promising future for Chelsea.

Do keep dreaming mkuu
Europa inawasubiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom