Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool na Man City ndio timu kubwa pekee zitakazoiwakilisha England UEFA Robo fainali kumbuka neno pekee
 
Tatizo mlivaa jezi nyeupe barca wakajua wanacheza na madrid wakaamua kutoa dozi ya siku zote
 
Courtois admits mistakes as Chelsea lose

Kipa wenu kakubali makosa ya mabao ya Barca ni yake!
Kipa avarage tu hii mechi ingekuwa neck to neck hadi dakika zote na Barca baadae wange panic!
Kipa wa Chelsea kawapa unafuu sana Barca leo,kacheza hovyo sana!
Toa huyu kipa fukuza sababu kwanza huwa anatabisha kusaini mkataba mpya!
Kwa kweli mlipambana sana,inauma kupoteza game kama hivi kwa makosa ya kipa mabao yote matatu
 
Sijui kwa nn cahil na Luiz wanawekwa bech na huyu mtoto haq kama huwa wanafanya makosa ila uzoefu wao ni muhimu sana
 
Messsi messi messi messi messi messi messiiiiiiiiiiiii
Kafanya nn Messi?
Messi kaokota tu bao zote mbili kwa upuuzi wa kipa wa Chelsea!
Chelsea walipambana sana hasa katikati lkn kipa kawaangusha sana mabao yote matatu
Chelsea ni team nzuri sana,fukuza kipa huyu mwenye ego jenga team
 
Messi-ah was the difference, ila mlicheza vizuri sana. Hata possession haikuwa na tofauti kubwa, nadhani 53-47, sio mbaya. Hii game kale ka magician ndio kaliiamua.
 
Hii game ni sisi ndio tumeshindwa kuimaliza. Yan Barcelina huyu unamchezea na wakati mwingine unamiliki mpira vizuri tumeshindwa kutoka na hata goli moja.

Beki ni mbovu na Foward line butu.


Si Kuna Baadhi Ya Mashabiki Wenu Wanasema Christensen ndiye Beki Bora Ndani ya [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Kwa Sasa?
 
Kafanya nn Messi?
Messi kaokota tu bao zote mbili kwa upuuzi wa kipa wa Chelsea!
Chelsea walipambana sana hasa katikati lkn kipa kawaangusha sana mabao yote matatu
Chelsea ni team nzuri sana,fukuza kipa huyu mwenye ego jenga team
Mpira ni mchezo wa makosa na kosa unalolifanya mwenzio ndio anakuadhibu hapo hapo, Mess jana alikua bora sana.. 2 goals + One assist katika ushindi wa 3-0 alafu unauliza Mess kafanya nini kweli?

Kipa kafanya vibaya jana unasema afukuzwe game ya kwanza Christencen alifanya makosa nae kuna watu walisema apigwe bench, Game na City walisema kocha kazingua apigwe chini, sasa tutabaki na nani katika timu?
 
Messi-ah was the difference, ila mlicheza vizuri sana. Hata possession haikuwa na tofauti kubwa, nadhani 53-47, sio mbaya. Hii game kale ka magician ndio kaliiamua.
Nikweli kabisa mkuu jamaa ndio alikua mchawi wa game, alafu kuna mtu eti anauliza Mess kafanya nn jana? Watu wengine mpira sijui wanasikiliza redion au ni mapenzi tu yanasumbua
 
Au hii ndio itafaa zaidi?View attachment 715082


Katika Kumbukumbu Zangu Sijawahi Kumkubali Huyu Kama Ni Kipa Bora Tofauti na Watu Wanavyomdhani.

Ni Ninawashangaa Sana Real Madrid Wanavyomng'ang'ania Huyu Jamaa wakati Kipa Waliyenae Ni Bora Mara 100 kuliko Wa Chelsea!!!

Ninachoweza Kusema Ni Kuwa Kipa Wa Chelsea Ni Kipa Namba 2 Kwa Uzuri Baada ya De Gea pale [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] tu.

Lakini Kidunia Kwenye Class walizo Kina Te Stegen, Oblak, De Gea, Allison, Sven Ulreich, Keylor Navas na Manuel Neuer Basi Huyu Bwege Hakanyagi Hasaaa!!!
 
Kafanya nn Messi?
Messi kaokota tu bao zote mbili kwa upuuzi wa kipa wa Chelsea!
Chelsea walipambana sana hasa katikati lkn kipa kawaangusha sana mabao yote matatu
Chelsea ni team nzuri sana,fukuza kipa huyu mwenye ego jenga team
Kweli mkuu kipa kachomesha sana jana yani hasa lile goli la kwanza dah.....mtu yupo ktk engo kabisa yeye anachanua miguu,chelsea ilicheza vizuri sana ila kipa miyeyusho.....nimekereka sana jana
 
Katika Kumbukumbu Zangu Sijawahi Kumkubali Huyu Kama Ni Kipa Bora Tofauti na Watu Wanavyomdhani.

Ni Ninawashangaa Sana Real Madrid Wanavyomng'ang'ania Huyu Jamaa wakati Kipa Waliyenae Ni Bora Mara 100 kuliko Wa Chelsea!!!

Ninachoweza Kusema Ni Kuwa Kipa Wa Chelsea Ni Kipa Namba 2 Kwa Uzuri Baada ya De Gea pale [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] tu.

Lakini Kidunia Kwenye Class walizo Kina Te Stegen, Oblak, De Gea, Allison, Sven Ulreich, Keylor Navas na Manuel Neuer Basi Huyu Bwege Hakanyagi Hasaaa!!!
Acha mambo yako wewe yaani huyu bwege anakaa nyuma sana kwa yule kipa wa spurs,yaani 3 bora ni

1.de gea

2.hugo

3.ederson
 
Katika Kumbukumbu Zangu Sijawahi Kumkubali Huyu Kama Ni Kipa Bora Tofauti na Watu Wanavyomdhani.

Ni Ninawashangaa Sana Real Madrid Wanavyomng'ang'ania Huyu Jamaa wakati Kipa Waliyenae Ni Bora Mara 100 kuliko Wa Chelsea!!!

Ninachoweza Kusema Ni Kuwa Kipa Wa Chelsea Ni Kipa Namba 2 Kwa Uzuri Baada ya De Gea pale [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] tu.

Lakini Kidunia Kwenye Class walizo Kina Te Stegen, Oblak, De Gea, Allison, Sven Ulreich, Keylor Navas na Manuel Neuer Basi Huyu Bwege Hakanyagi Hasaaa!!!
eti bwege...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom