Swahili Ambassador
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 204
- 245
Nadhani bado hujaiona njaa ya Ings...Nimefurahia droo ya Liverpool vs Man City. Hii inaweza kuwa na advantage kwetu Chelsea.
Tar 31/3 Palace atakuwa nyumbani kumenyana na Liverpool. Lakini pia tar 3/4 Liverpool atakuwa na mechi kubwa dhidi ya Palace.
Hii ina maana gani?
Ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mkubwa Salah, Van Djik na keyplayer mwingine wakapumzishwa dhidi ya mechi ya Palace kwa ajili ya kukabili miamba isiyotikisika, Man City . Amini usiamini Liver ina first eleven nzuri ila nje ya hapo haina substitute. Hivyo kama watawapumzisha hao wachezaji itakuwa vigumu kuishinda Palace uwanja wao wa nyumbani. So matokeo ya Liver si zaidi ya droo kwenye hiyo mechi. Kama Liver ikidroo ina maana watakuwa wakitutangulia kwa point mbili tu na mkumbuke tuna mechi nao mwezi wa tano na watakuja Stanford bridge.
Chelsea ina kazi moja tu! Kushinda kila mechi iliyobaki. Otherwise tutakwenda kucheza yale mashindano ya Alhamisi maarufu kama Futuhi.
But let's be positive because there is a promising future for Chelsea.
Jipe moyo maana ushabiki ndio upo hivyo, lakini pia wachezaji wapo kwa ajili ya kucheza. Kucheza dhidi ya Man City hakuizuii Luverpool kumfunga Crystal Palace.
Mbona husemi Man City atapumzisha wachezaji wake katka mechi dhidi ya Liverpool maana baada ya hapo anacheza na Manure katika mechi ya kuchukulia ubingwa?