Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unaelewa maana ya (hata)

Uliuliza kwa kejeli nikekujibu vile unataka jamaa nliekuwa nafanya nae mjadala anajua nn tunazungumzia kabla hujaquote mtu yafaa usome vizur post na kuona mjadala ulianzia wap
Hata maana yake nini?

But, nimekuelewa ila sikuuliza kwa kejeli,nilidhani labda tu umejichanga ila hukumaanisha hivyo.ndio maana nikakuuliza au unamaanisha Rooney.

Pamoja mkuu.
 
Wakuu vipi uwezo wa kumng'oa huyu Barcelona upo au ndio tutayaaga rasmi haya mashindano pendwa
Bacca anang'oka iwapo conte ataacha ujinga wake wa kumpanga Hazard kama false no.9...formation iwe 4 3 4....kante aanze na drinking water...wapewe kaz maalum pale kati ni kwanini drinking water na siyo fab? Fab anakosa physical prencence pale kati...kitu ambacho kitatu expose vibaya kwa mtu hatari kama ineista na mess...mbele Hazard, Giroud na William...william na Hazard wanaelewana vizuri sana...na hazard akicheza pemben anakuwa mtam zaid na yeye mwenyewe ameshaconfess hilo.....mwisho, ..team work ndio itakayo spearhead hii game...cha kwanza tutafute goal la mapema kuwavuruga....then game itakuwa upande wetu...nje ya hapo kaz tunayo.
 
Bacca anang'oka iwapo conte ataacha ujinga wake wa kumpanga Hazard kama false no.9...formation iwe 4 3 4....kante aanze na drinking water...wapewe kaz maalum pale kati ni kwanini drinking water na siyo fab? Fab anakosa physical prencence pale kati...kitu ambacho kitatu expose vibaya kwa mtu hatari kama ineista na mess...mbele Hazard, Giroud na William...william na Hazard wanaelewana vizuri sana...na hazard akicheza pemben anakuwa mtam zaid na yeye mwenyewe ameshaconfess hilo.....mwisho, ..team work ndio itakayo spearhead hii game...cha kwanza tutafute goal la mapema kuwavuruga....then game itakuwa upande wetu...nje ya hapo kaz tunayo.
sorry hapo formation ina error...ni 3 4 3
 
Wakuu vipi uwezo wa kumng'oa huyu Barcelona upo au ndio tutayaaga rasmi haya mashindano pendwa
Huyu pakashume anatoka vizuri. Ila Conte ampange Giroud #9 then Hazard acheze nyuma ya striker huku Willian akitokea kulia kama namba 7. Barca anatoka kwa plan siyo kichwa kichwa kibahati bahati tu tutaenda kukamilisha ratiba.
 
Hii mechi inabidi giroud acheze mwanzo mwisho .....formation nzuri naona 4 5 1
 
Today game plan at Camp Nou

..............
“But like I said, with the ball we have to be more clinical"
“Without the ball we have to be more compact, like at Stamford Bridge"
-Willian
DailyStar - UK
 
Chelsea fc itashinda.........
FB_IMG_1520182066194.jpg
 
Barcelona kama kawaida yake anampiga Chelsea magoli mawili Kwa moja na kusonga mbele,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom