Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu japo mimi ni United lakini kocha kazingua kumwanzisha Fab. Kama alivyozingua Morinho kumwanzisha Fellain.. Ila ngoja tusubiri kipindi cha pili labda atabadilika
So angemwanzisha Bakayoko?
 
We played very well despite of the final result, miamba imegongwa mara mbili, possession hatukuwa nyuma sana.. All in all we lost against bets team
 
Timu imecheza vizuri kwa ujumla, ila Conte nae aache woga wa kuwaruhusu wachezaji wafunguke...

Nazani kwa makosa kama haya huwa yanatokea na kujirekebisha siku zijazo na wachezaji kuzidi kujiamini.

Kwa mpira huu kama tungecheza ile mechi na Man City habari ingekuwa nyingine.
 
Hii game ni sisi ndio tumeshindwa kuimaliza. Yan Barcelina huyu unamchezea na wakati mwingine unamiliki mpira vizuri tumeshindwa kutoka na hata goli moja.

Beki ni mbovu na Foward line butu.
Ndgu soma fans page ya chelsea uone matus
 
Timu imecheza vizuri kwa ujumla, ila Conte nae aache woga wa kuwaruhusu wachezaji wafunguke...

Nazani kwa makosa kama haya huwa yanatokea na kujirekebisha siku zijazo na wachezaji kuzidi kujiamini.

Kwa mpira huu kama tungecheza ile mechi na Man City habari ingekuwa nyingine.
Yaani mancity anahusikaje tena hapa na kifungwa kwenu? Pambaneni na hali zenu. Kabla jamjajilinganisha na mancity anzia hapo kwa ambae yupo karibu yako.
 
Nike wamepata dawa ya tatizo
Screenshot_2018-03-15-01-12-48.png
 
Chelsea ya msimu huu ni mbovu sana,chelsea za misimu ya nyuma iliwezakumzibiti king leo messi asifunge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom