Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
Draw ya tatu tatu
Umetisha
Draw ya tatu tatu
game ikiisha nishtueUmetisha
Mkuu kama msimu huu mzima hujaona kazi ya Fab basi. Fab ndo anafanya timu ihold mpira, na mara nyingi huwa anatulia na mpira na kutoa nafasi kwa washambuliaji wetu kujipanga. Udhaifu wake ni kwamba anapoza mpira ila siku akikosa ndo utaona kazi yakeSijui kwa nini kamuanzisha Fab. Sielewi sababu ya Fab kuanza
Hata jana mtoto wa josee morhnyo aliomba mpira akasema nakuletea kilichomkuta anajua yy

Naona leo ameenda kwa ajili ya kushambulia ili apate goli mapema labdaSijui kwa nini kamuanzisha Fab. Sielewi sababu ya Fab kuanza
Mmhh labda Barca wajifunge matatuDraw ya tatu tatu
Acha uoga wew..ukitaka aanze yule mtoto laini?Kwa line up hii eti Girl Wood ndio anaongoza safu ya mashambulizi bora nilale tu.. Matokeo ninayo.. Exact score.. Barca 2-0 chelshit