Mark my words, EPL itaisha hivi;Mechi ya kwanza 5 November mwaka jana Chelsea tulishinda 1-0 pale Stanford Bridge goli la Alvaro Morata akisaidiwa na César Azpilicueta dk ya 55
Na mechi zote mbili tulikuwa na shots nyingi, short on target nyingi, passes nyingi na possession 54% na ya jana 56%
Bahati haikuwa yetu tu.Mimi bado naamini UCL tutacheza na walioko pale wanatushikia kwa muda tu.Mechi 10 bado ni nyingi kuamua nani ni nani wakati difference ya point ni 4 kwa Liverpool na 2 kwa Spurs
Siyo bure yaani Mun utd chama langu limalize nafasi ya 4 toka ya 2.wewe utakuwa unachuki binafsi kutokana na kichapo.mzunguko huu liver,asenal wanakuja OT away mech kubwa moja ya man city.Utaumwa presha kwa roho yako mbaya..!Mark my words, EPL itaisha hivi;
1. Manchester City
2. Liverpool
3. Chelsea
4. Manchester United
Form aliyokuwa nayo Liverpool sasa hivi ni unstopable. Hata angekukuta gulioni angekuchapa sembuse OT? Chelsea condition moja tu inaweza kuiondoa top 4! Nayo ni kufungwa na Man City j2Siyo bure yaani Mun utd chama langu limalize nafasi ya 4 toka ya 2.wewe utakuwa unachuki binafsi kutokana na kichapo.mzunguko huu liver,asenal wanakuja OT away mech kubwa moja ya man city.Utaumwa presha kwa roho yako mbaya..!
FT Chalsea 2 Manchester City 1Kwa wataalamu wa soka wanasema chelsea wanafungwa 2-0
Ila chochote kinaweza kutokea kama vijana watauchukulia kwa uzito huu mchezo wakijua kufungwa ni kuondoka kabisa kwenye top four
That will never be. Hii mechi inaweza kuisha aidha draw au Man City anakaa bila ushabiki.Wakuu tupo pamoja leo ingawa mpanga ratiba alikuwa na agenda ya siri. Kukupangia ucheze ndani ya jiji la Manchester mechi mbili mfululizo sio uungwana. Ooops nimesikia mkitoka Manchester mnaelekea Barcelona! All the best, try not to make it CRICKET SCORE.
Nitashangilia hayo matokeo mkuu.That will never be. Hii mechi inaweza kuisha aidha draw au Man City anakaa bila ushabiki.
My Prediction (Man city 1-2 Chelsea)
Nafasi ya 2-4 bado hazina mwenyewe.Bado nafasi ya nne kwa Chelsea ipo, cha msingi leo Timu isikubali kushindwa. Angalau itoke na droo.
Mechi mbili ndo zitaamua Chelsea asiingie big four. Nazo ni mechi ya
Chelsea vs Tottenham na
Tottenham vs Man City na hapo Chelsea tutapaswa kushinda mechi zote zilizobaki
Unakosea.....FT Chalsea 2 Manchester City 1
