eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Nataka niamini conte ni kocha bora sana kwa chelsea
Ukiangalia team inacheza mchezo mzuri na kutengeneza nafasi nyingi pia tatizo ni pale mbele ndio maana anatakiwa atafute striker bora mwingine wa kumpa changamoto morata sio unamtaka carrol
Ukiangalia team inacheza mchezo mzuri na kutengeneza nafasi nyingi pia tatizo ni pale mbele ndio maana anatakiwa atafute striker bora mwingine wa kumpa changamoto morata sio unamtaka carrol