My man of the match... I miss those days ambazo these games hatukuwa hata tunajua kama zinachezwa, tunaangalia FA kuanzia last 32 au 16 huko
Uliangalia the whole game + extra time?Kwangu mimi leo nampa Kenedy...
![]()
Huenda ikawa sababu then...baada ya dakika 90 niliangalia dakika 15 za mwanzo za nyongeza baada ya hapo nikaenda kwa kikao.Uliangalia the whole game + extra time?
6-0 utakuja kulipa lini.?
Shajibu we vipi...kila nikienda hili swali bado halijibiwi mtag labda kasahau
View attachment 678435
Cheki hapo ndo upate jibu..
Nimekudunda nyingi mara nyingi sana ww..... Ww kilaza wa Norwich..
Kumbe akiwaga kwao huyo mtu waga analialia halafu akienda kwa wengine anavunga...,teh teh teh tehDah naenda kwa kikao mtanihadithia extra time...
Makosa ya kocha....

![]()
Kwa nini Chelsea wanamwachia mfungaji mzuri kama huyu kwenda Arsenal?
Kwa hiyo sasa nyuma yetu atakuwepo Kane na Pierre-Emerick Aubameyang
Kweli tutabakia top 4, timu zote kuanzia Mancity, Manu, Liverpool, Spurs na sasa Arsenal wameweka visu vikali mbele, sisi hakuna linaloendelea

Mm nilipo Ona tunaingia matuta nilienda kulala zangu.... Nilichokiona Jana kiungo hakuna maelewano.... Hapa kuwepo na umuhimu wa kumuuza chalobah,traore na kumtoa kwa mkopo lotufs, tamy... Kiwango cha viungo walio ondoka ni kizuri kuliko drinkwater na bakayoko... Na tamy anaweza kuwa mzuri kuliko morata na bats man akipata mafunzo vizuri....... Musonda angeingia badala YA Pedro...... Pedro, zapacosta na wiliian walichoka kuanzia dakik YA 70...... Morata hakuna kitu wala tusiweke tumaini kwake.... Conte anacheza kamari bila Shaka sio kwa upangaji wa kikosi na usajili wake anao angaika naoNi aibu kusema hongera bro, +tive ni kuwa Caballero ni kipa haswaaa
Tatizo hao hawakuuzwa na MourinhoHivi Bakayoko ni better than Loftus-cheek kweli? Hivi Batshuayi ni better than Traole? Tumezingua sana kwa hawa hapa... Halafu tunamtafuta Carrol.
Ssa conte naye coach hakuna kitu pale bora hata carlo ancelot kuliko huyu acy jua kusajiki anakuwa na visasi kam mwanamke