Conte unajua anatakiwa kufikizwa mapema sana k imemshindaHizi taarifa mkuu lyon mi naomba ziendelee kuwa tetesi na sio halisi
Karol sio daraja la chelsea
Nenda kwenye team yoyote chukua mshambuliaji lakini sio karol
Najiuliza hii ni akili ya conte au ni vipi
Watumie pesa yupo belote wa torino
6-0 utakuja kulipa lini.?
Conte anahusika na usajiri siku hizi nini?Conte unajua anatakiwa kufikizwa mapema sana k imemshinda
We jamaa ni mchokoziBREAKING: Chelsea manager Antonio Conte is having a medical at Stamford Bridge after being linked with a £30m bid for West Ham striker Andy Carroll...
Ukikumbuka una game 2 vs barcelona next month hapo halafu kocha anapambana kumsajili Carrol unadata kabisaAndy Carrol kabisa?
Koch wetu bado anacheza kamari
Wachezaji wamekata tamaaUkikumbuka una game 2 vs barcelona next month hapo halafu kocha anapambana kumsajili Carrol unadata kabisa
Hapana ndg Norwich anatusumbua sana huwa tunamfunga kwa tabuWachezaji wamekata tamaa
Kocha kakata tamaa na kachoka yupo tu amalize msmu
yaani hadi Norwich anatuaumbua
Hivi Bakayoko ni better than Loftus-cheek kweli? Hivi Batshuayi ni better than Traole? Tumezingua sana kwa hawa hapa... Halafu tunamtafuta Carrol.Wachezaji wamekata tamaa
Kocha kakata tamaa na kachoka yupo tu amalize msmu
yaani hadi Norwich anatuaumbua
Sisi ni timu kubwa usajili wetu ka Morata ni kikosi chote Cha Norwich...Hapana ndg Norwich anatusumbua sana huwa tunamfunga kwa tabu
Hivi Bakayoko ni better than Loftus-cheek kweli? Hivi Batshuayi ni better than Traole? Tumezingua sana kwa hawa hapa... Halafu tunamtafuta Carrol.
Siungi mkono matusi humu hata kama umekwazika...Timu ya kisenge sana