Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu hizi habari za toka mwaka 2010 unatuletea 2018 hii.? Huyu robot si tumpeleke wapi.? Japo turudi kwenye sijui ni kitu gani kinatuzuia kusajili
Screenshot_2018-01-19-10-28-48.png


Ingia hapo mkuu uone kama ni za 2010
 
Mshambuliaji wa Stoke na Uingereza Peter Crouch, 36, analengwa kusajiliwa na Chelsea baada ya majeruhi kumnyima Andy Carroll , 29, fursa ya kuhamia klabu hiyo.(Telegraph)



Chelsea inataka kumsajili mshambuliaji wa Bosnia Edin Dzeko, 31, na beki wa Itali Emerson Palmieri, 23, kutoka Roma. Wawili hao wanaweza kugharimu jumla ya £77m. (Daily Star)



Chelsea itamtumia mshambuliaji wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 24 kumsajili Edin Dzeko. (Sky Italia)
 
Chelsea huenda ikakabiliwa na marufuku ya uhamisho kwa kukiuka sheria kuhusu usajili wa wachezaji wa kigeni walio na chini ya umri wa miaka 18. (Guardian)
 
United wanaiongoza Liverpool na Chelsea katika harakati za kumnunua kiungo wa kati wa Nice Jean-Michael Seri, 26, huku Manchester City pia ikimtaka mchezaji huyo wa Ivory Coast. (Mirror)
 
Mshambuliaji wa Stoke na Uingereza Peter Crouch, 36, analengwa kusajiliwa na Chelsea baada ya majeruhi kumnyima Andy Carroll , 29, fursa ya kuhamia klabu hiyo.(Telegraph)



Chelsea inataka kumsajili mshambuliaji wa Bosnia Edin Dzeko, 31, na beki wa Itali Emerson Palmieri, 23, kutoka Roma. Wawili hao wanaweza kugharimu jumla ya £77m. (Daily Star)



Chelsea itamtumia mshambuliaji wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 24 kumsajili Edin Dzeko. (Sky Italia)
Croach anatimiza miaka 37 January 30 kwa hiyo kwa sasa ni sawa na kusema ana miaka 37 sio 36. Huyu naona atavunja rekodi ya mastraika kucheza ligi kubwa kama ya Uingereza kwa umri mkubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom